Watengeneza printa ya aina yake Afrika Mashariki
Huenda isiwe inafahamika na Watanzania wengi, lakini mashine ya kwanza ya kuchapa vifaa vya maumbo mbalimbali, imeanza kutengenezwa nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo523 Apr
Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--PHe5LdsWVc/VTpv_cXMssI/AAAAAAAHS_c/vN4axDnjy4c/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-24%2Bat%2B7.30.30%2BPM.png)
MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Breaking News… Bunge Afrika Mashariki lamvua spika madaraka yake
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki kabla ya kubwagwa leo Bi.Margaret Nantongo Zziwa.
Na Mahmoud Ahmad Arusha
BUNGE la nchi za jumuia ya Afrika Mashariki,lenye makao yake mjini Arusha, limemvua madaraka ya Uspika wa bunge hilo Margaret Nantongo Zziwa, kutoka nchini Uganda.
Uamuzi huo umefanywa leo katika kikao cha bunge hilo ambapo Spika huyo alipigiwa kura 36 za kutokuwa na Imani nae, kura 2 zimeharika kura moja haikueleweka hivyo kukosa sifa ya kuendelea na wadhifa huo.
Kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt5Ug2JdCXpvqEi5f25ydo9u*YXsiHvYnc-9E*fK8k2vBg0D-naHV1RrIDj-MDhpDGeGMJu2hBgFsgVHfGYIy6Uc/BkICoINCIAE4WNz.jpglarge.jpg?width=650)
WAJE AFUTA ZIARA YA AFRIKA MASHARIKI BAADA YA KIFO CHA BIBI YAKE
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qXcy0Bno35A/UvcmYJgtrDI/AAAAAAAFL5U/5MS73ZdZLSs/s72-c/unnamed+(1).jpg)
NAIBU WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI AHITIMISHA ZIARA YAKE WILAYA ZA KANDA YA ZIWA ZINAZOTEKELEZA MIRADI YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA
![](http://3.bp.blogspot.com/-qXcy0Bno35A/UvcmYJgtrDI/AAAAAAAFL5U/5MS73ZdZLSs/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QDoyjNhFF1k/UvcmYCZmrYI/AAAAAAAFL5Y/0ph29wAZYu0/s1600/unnamed.jpg)
Na Faraja Mgwabati Mheshimwa Dkt.Abdulla Juma Abdulla Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki amehitimisha ziara yake ya Siku sita kitika Wilaya zinazotekeleza miradi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s72-c/MMGM1318.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki
![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s1600/MMGM1318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBWv9yQNvSI/VH7X7f0UB4I/AAAAAAAG06g/XLbe4qUejRc/s1600/MMGM1313.jpg)
10 years ago
Habarileo27 Apr
Muungano wa aina yake
RAIS Jakaya Kikwete ameongoza Watanzania kuadhimisha miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964, katika sherehe zilizofanyika jana katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na kufana.
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Harusi ya aina yake Misri
10 years ago
VijimamboUSIKU WA JAKAYA ULIKUWA WA AINA YAKE