Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki
![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s72-c/MMGM1318.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM),Mboni Mhita (katikati) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) pamoja na baadhi ya vijana wa Mkoa wa Dar es salaam leo,juu ushindi wake alioupata katika Uchaguzi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana Barani Afrika,ambapo yeye amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja huo kwa upande wa Afrika Mashariki.Uchaguzi huo ulifanyika Mwishoni mwa mwezi uliopita katika Jiji la Johannesburg,nchini Afrika Kusini.Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YY_nkpCOt2o/VAHKQ_4OqXI/AAAAAAAGWgo/Rjc_zCEbfxU/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
WAZIRI MKUU ASISITIZA UMOJA KWA MAJESHI YA AFRIKA MASHARIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YY_nkpCOt2o/VAHKQ_4OqXI/AAAAAAAGWgo/Rjc_zCEbfxU/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uas-NdgD-PM/VAHKRMS4ucI/AAAAAAAGWgs/JgCowibgcIU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema majeshi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CIL41JMq3ZU/VMvfjrE-SMI/AAAAAAAHAaQ/QoIr7EZ3F7Q/s72-c/IMG-20150130-WA0002.jpg)
SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA Makamu Mwenyekiti ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Bunge la Kenya
![](http://2.bp.blogspot.com/-CIL41JMq3ZU/VMvfjrE-SMI/AAAAAAAHAaQ/QoIr7EZ3F7Q/s1600/IMG-20150130-WA0002.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a_GwgNbsM6w/VMvfY2TfQ3I/AAAAAAAHAaA/DCHiWfwPOrQ/s1600/IMG-20150130-WA0004.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xmCQIWhQwEY/VMvfaemnxZI/AAAAAAAHAaI/jShhLVkKjU0/s1600/IMG-20150130-WA0003.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Nbix_KCORP0/VTdM1gd8w6I/AAAAAAAHSdE/0Eg90GecMEk/s72-c/unnamed%2B(83).jpg)
WAZIRI MKUU AKUTANA NA MAKAMU MWENYEKITI WA BARAZA LA BIASHARA LA CHINA AFRIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nbix_KCORP0/VTdM1gd8w6I/AAAAAAAHSdE/0Eg90GecMEk/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EqOUR7GOTJg/VTdM1jUvX9I/AAAAAAAHSdI/EbOGJKiqVzs/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki awataka wajasiriamali kuchangamkia masoko
Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo John Mahaley akitoa neno kwenye Maonesho ya Bidhaa za Wajasiriamali wa Bagamoyo 2014, kwenye viwanda vya kituo cha mabasi Bagamoyo.
Hussein Makame-MAELEZO
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Joyce Mapunjo, amewataka wajasiriamali wa Bagamoyo na Watanzania kwa ujumla kuwa wabunifu na kuongeza thamani za bidhaa zao ili kuhakikisha wanafaidika na fursa za masoko ya bidhaa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Ameyasema hayo wakati akifungua...
10 years ago
Vijimambo22 Apr
WAZIRI MKUU MHE. MIZENGO PINDA AKUTANA NA MAKAMU MWENYEKITI WA BARAZA LA BAISHARA LA CHINA NA AFRIKA
![MZ1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/MZ1.jpg)
![MZ01](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/MZ01.jpg)
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI AONGOZA MAHAFALI YA TISA YA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA (MOCU)
10 years ago
Habarileo12 Dec
Katibu Mkuu UVCCM ziarani Kanda ya Ziwa
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Sixtus Mapunda anatarajia kufanya ziara ya siku nne (14) katika mikoa minne ya Kanda ya Ziwa, ambayo ni Tabora, Shinyanga, Geita na Kagera kuanzia leo.
9 years ago
Habarileo25 Sep
MO achaguliwa kuwa mfanyabiashara bora wa Afrika
MFANYABIASHARA kijana wa Tanzania, Mohammed Dewji ‘Mo’ wa Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Ltd (MeTL), ametwaa tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika kwa mwaka huu akiwapiku washindani wenzake wanne akiwemo tajiri wa Afrika, Aliko Dangote.