WAZIRI MKUU ASISITIZA UMOJA KWA MAJESHI YA AFRIKA MASHARIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YY_nkpCOt2o/VAHKQ_4OqXI/AAAAAAAGWgo/Rjc_zCEbfxU/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimina na wachezaji wa timu ya mpira wa Miguu ya Jeshi la Uganda katika kilele cha michuano ya majeshi ya Nchi za Afrika ya Mashariki kwenye uwanja wa Amaan Zanzibar August 29, 2014.. Katika mechi ya kufunga mashindahayo Uganda na Tanzania zilitoka sare ya 1-1. Wapili kulia ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Tanzania, Jenerali Davis Mwamunyange. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema majeshi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s72-c/MMGM1318.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki
![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s1600/MMGM1318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBWv9yQNvSI/VH7X7f0UB4I/AAAAAAAG06g/XLbe4qUejRc/s1600/MMGM1313.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Jul
Waziri Kombani asisitiza umoja kwa watumishi
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani amewataka watumishi wa umma kuwa na ushirikiano ili kuweza kutimiza wajibu wao kikamilifu kwani migogoro na migongano ndani ya taasisi inazorotesha utendaji kazi wa kila siku.
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Kushuka kwa elimu Afrika Mashariki, dawa ni umoja
9 years ago
VijimamboWAANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA UMOJA WA AFRIKA (AU) WATUA OFISINI KWA WAZIRI CHIKAWE, WAJADILIANA KUHUSU UCHAGUZI MKUU.
10 years ago
Michuzi16 Aug
TANZANIA MWENYEJI WA MASHINDANO YA 8 YA MAJESHI YA AFRIKA MASHARIKI.
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Papa Wemba asisitiza upendo Afrika Mashariki
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-c5TD0fjOhtk/U2UTaUBiGHI/AAAAAAAFfMI/wpOteJtrzmM/s72-c/unnamed+(4).jpg)
WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AMWAKILISHA RAIS KIKIWETE KWENYE MKUTANO WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI -NAIROBI
![](http://2.bp.blogspot.com/-c5TD0fjOhtk/U2UTaUBiGHI/AAAAAAAFfMI/wpOteJtrzmM/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Dec
‘Viongozi Afrika Mashariki wajenge umoja’
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
Ukweli kuhusu umoja wa fedha Jumuiya ya Afrika Mashariki
OKTOBA 20 hadi 24 mwaka huu, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) iliandaa semina kwa waandishi wa habari, mjini Bagamoyo kujifunza mambo mbalimbali. Miongoni mwa mada zilizotolewa ni ukweli kuhusu umoja wa fedha katika...