Waziri Kombani asisitiza umoja kwa watumishi
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani amewataka watumishi wa umma kuwa na ushirikiano ili kuweza kutimiza wajibu wao kikamilifu kwani migogoro na migongano ndani ya taasisi inazorotesha utendaji kazi wa kila siku.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YY_nkpCOt2o/VAHKQ_4OqXI/AAAAAAAGWgo/Rjc_zCEbfxU/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
WAZIRI MKUU ASISITIZA UMOJA KWA MAJESHI YA AFRIKA MASHARIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YY_nkpCOt2o/VAHKQ_4OqXI/AAAAAAAGWgo/Rjc_zCEbfxU/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uas-NdgD-PM/VAHKRMS4ucI/AAAAAAAGWgs/JgCowibgcIU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema majeshi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika...
10 years ago
MichuziKLABU YA MICHEZO YA UTUMISHI YAKABIDHI VIKOMBE VYA SHIMIWI KWA WAZIRI MH.KOMBANI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hITYstu3ZZs/VgaawQi8RFI/AAAAAAAH7So/eSZ6EpsD07E/s72-c/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
MWILI WA MAREHEMU CELINA O. KOMBANI WAWASILI DAR ES SALAAM MUDA HUU, WATUMISHI WA OFISI YAKE WAMLILIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hITYstu3ZZs/VgaawQi8RFI/AAAAAAAH7So/eSZ6EpsD07E/s320/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAB Mkwizu na watumishi wote wa Ofisi ya Rais-Utumishi wataendelea kukukumbuka daima kwa busara zako na uongozi wako mzuri.-------------------------------------------------------------------Wakati huo huo mwili wa Marehemu Celina O. Kombani umewasili muda huu katika uwanja wa ndege wa kimatifa wa...
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Prof. Maghembe asisitiza umoja, amani Mwanga
WANANCHI wa Jimbo la Mwanga lililopo mkoani Kilimanjaro wametakiwa kujenga mshikamano, umoja na upendo miongoni mwao, kwani kwa kufanya hivyo wataweza kujiletea maendeleo. Wito huo ulitolewa na Mbunge wa jimbo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wuB_deGiIDQ/Xklwc3CAvgI/AAAAAAALdmk/6k3IKIHbgvsM7Vq4L7ip603XF_CDaSvlgCLcBGAsYHQ/s72-c/C1-1.jpg)
WAZIRI KABUDI: WATUMISHI FANYENI KAZI KWA BIDII NA USHIRIKIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-wuB_deGiIDQ/Xklwc3CAvgI/AAAAAAALdmk/6k3IKIHbgvsM7Vq4L7ip603XF_CDaSvlgCLcBGAsYHQ/s640/C1-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/D1-1.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge akiongea na watumishi wa wizara wakati wa kikao kilichofanyika jijini Dodoma
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/B1-1.jpg)
Sehemu ya watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia kikao kilichofanyika jijini...
9 years ago
Habarileo25 Sep
Waziri Kombani afariki dunia
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Utumishi), Celina Kombani amefariki dunia jana akiwa nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kombani1.jpg?width=650)
MWILI WA WAZIRI KOMBANI WAWASILI DAR
9 years ago
Mtanzania25 Sep
Waziri Celina Kombani afariki dunia
NA KULWA KAREDIA
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), Celina Kombani amefariki dunia.
Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashilila aliliambia MTANZANIA jana usiku kuwa Waziri Kombani alifikwa na mauti katika Hospitali ya Apollo nchini India ambako alikuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu karibu wiki mbili.
“Ni kweli Waziri Kombani amefariki dunia leo jioni (jana), kwa saa za kwetu..alikuwa India kwa matibabu karibu wiki mbili hivi.
“Mimi kama kiongozi wa Bunge naweza...