MO achaguliwa kuwa mfanyabiashara bora wa Afrika
MFANYABIASHARA kijana wa Tanzania, Mohammed Dewji ‘Mo’ wa Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Ltd (MeTL), ametwaa tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika kwa mwaka huu akiwapiku washindani wenzake wanne akiwemo tajiri wa Afrika, Aliko Dangote.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s72-c/MMGM1318.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki
![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s1600/MMGM1318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBWv9yQNvSI/VH7X7f0UB4I/AAAAAAAG06g/XLbe4qUejRc/s1600/MMGM1313.jpg)
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Kikwete achaguliwa kiongozi bora Afrika
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eKpRHeP3TAQ/U0S-oa-MvkI/AAAAAAAFZXE/CTdoWX0yPzo/s72-c/me1.jpg)
Rais Kikwete achaguliwa Kiongozi Bora Afrika
![](http://1.bp.blogspot.com/-eKpRHeP3TAQ/U0S-oa-MvkI/AAAAAAAFZXE/CTdoWX0yPzo/s1600/me1.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amechaguliwa kuwa Kiongozi Mwenye Mchango Mkubwa...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Rooney achaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2015 wa Uingereza
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Manchester United, Wayne Rooney (pichani) amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2015 wa Uingereza baada ya fanikiwa kuvunja rekodi ya kufunga magoli mengi katika timu ya taifa ya magoli 49 ambayo awali ilikuwa imewekwa na Sir Bobby Chalton na baade kuweka ya kwake ya magoli 50.
Rooney mwaka 2015 aliichezea Uingereza michezo 8 na kufanikiwa kuifungia magoli 5 ambayo yaliisaidia Uingereza kujihakikishia nafasi...
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Mengi aingia fainali tuzo ya mfanyabiashara bora Afrika
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi ni miongoni mwa wafanyabiashara wanne waliofikia fainali ya kuwania Tuzo ya Mwaka ya Mfanyabiashara Bora Afrika (AABLA), kundi la Afrika Mashariki....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm2VXQmq5FERU-ivnIKocTc67sPlTO8Y6TWb16QMnRp6rEmCfokxsIWb1Bl9Ut9NjAIGbN7LjCSsYAAdLaynAFsk/Membe.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ACHAGULIWA KUWA KIONGOZI MWENYE MCHANGO MKUBWA ZAIDI KATIKA MAENDELEO BARANI AFRIKA KWA MWAKA 2013
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
JK achaguliwa kuwa Rais Bora Afrika
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, amechaguliwa kuwa kiongozi mwenye mchango mkubwa zaidi katika maendeleo barani Afrika kwa mwaka 2013. Heshima hiyo kwa Rais Kikwete imetolewa na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Fd0XmNYdrrM/Vg5VlShu4KI/AAAAAAAH8Vc/R8C3iTyHBWE/s72-c/download.jpg)
VODACOM YAPATA TUZO YA KUWA MWAJIRI BORA NCHINI AFRIKA YA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fd0XmNYdrrM/Vg5VlShu4KI/AAAAAAAH8Vc/R8C3iTyHBWE/s1600/download.jpg)
10 years ago
VijimamboSamia Suluhu achaguliwa kuwa mgombea mwenza