Makundi maalum wataka kujua aina ya Muungano
WAKATI Bunge la Katiba linajiandaa kuanza kuichambua rasimu ya Katiba mpya wiki ijayo, wajumbe wanaowakilisha makundi maalumu wametaka mjadala wa kwanza, iwe sura ya kwanza na sura sita ya rasimu hiyo ili makundi hayo yaweze kujua hatma ya mambo wanayoyadai yako sehemu ipi ya Muungano.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Tuna maiti ya muungano bila kujua
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, juzi Ijumaa mjini Dodoma, walishuhudia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikishinikiza matakwa yake katika utungaji wa Katiba Mpya. Walimwona Rais Jakaya Kikwete ambaye ni Mwenyekiti...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/gKY8URbH3Lk/default.jpg)
10 years ago
Habarileo27 Apr
Muungano wa aina yake
RAIS Jakaya Kikwete ameongoza Watanzania kuadhimisha miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964, katika sherehe zilizofanyika jana katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na kufana.
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Kura aina ya Muungano Agosti
11 years ago
Habarileo10 May
Vyama kuondoa makundi Bunge Maalum
VIONGOZI wa vyama vya siasa nchini wameanza kujadili namna ya kuondoa makundi katika Bunge maalumu la Katiba kwa njia ya mazungumzo, yakielezwa ndivyo yanayosababisha migogoro iliyopo.
11 years ago
Habarileo05 Mar
Bunge Maalum kutoapishwa kwa makundi
WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba wataapishwa mmoja mmoja badala ya makundi, ingawa utaratibu huo umepingwa na baadhi ya wajumbe kuwa utaitia hasara serikali zaidi ya Sh milioni 500. Uamuzi huo wa kuapa mmoja mmoja, unapingana na ushauri wa Kamati ya Kanuni iliyo chini ya Mwenyekiti wake, Profesa Costa Mahalu iliyopendekeza wajumbe waape kwa makundi, kufuatana na imani za dini zao, kazi ambayo ingechukua siku moja.
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Watanzania waachwe waamue aina ya Muungano wanaoutaka
LEO ni Sikukuu ya Muungano ambapo Watanzania tunaadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, hivyo kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Licha ya kasoro na matatizo tuliyopitia ndani...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Pinda: Tungejua tungeamua aina ya muungano kwanza
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
KATIBA MPYA: Mwafaka wa aina ya muungano ulihitajika kabla
JAMBO ambalo limekuwa likijadiliwa na wengi katika rasimu ya Katiba mpya ni hoja ya Muungano. Ingawa kwa maoni yangu ningesema yamekuwa mabishano ambayo si wengi wameyajengea hoja, lakini Watanzania wengi...