BAISKELI ILIYOTENGENEZWA KWA DHAHABU YAZINDULIWA UINGEREZA, BEI YAKE MILIONI 676.5
![](http://api.ning.com:80/files/YRV3Lv4YkEL9wQq28rlqWAEVT*qTm10HawFbAD7nNCsrVwcpndlZnpwwA-qYrRCoJysNr5*u2NqBoEWEaOk64YCDU1YZ8KY8/baiskeli.jpg?width=650)
Baiskeli iliyotengenezwa kwa dhahabu inayogharimu millioni 676.5 NI rahisi sana kwa watu kulalamikia gharama ya kununua baisekli wengi wakitaka bei nafuu. Baiskeli nyingi nchini Uingereza huuzwa kwa pauni 1,000 sawa na shilingi milioni 2.7 za Tanzania ambazo kwa watu wengi nchini humo ni fedha nyingi sana. Hata hivyo baiskeli mpya iliyotengezwa kwa dhahabu imezinduliwa nchini humo. Bei yake? Pauni 250,000 sawa na milioni 676.5...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV18 Dec
Kushuka kwa bei ya Dhahabu, Kampuni zaaswa kutopunguza wafanyakazi.
Na Shaabani Alley,
Shinyanga.
Wakati bei ya dhahabu katika soko la dunia ikiwa imeshuka, Serikali imetoa wito kwa Kampuni ya uchimbaji wa Dhahabu ya ACACIA kutopunguza wafanyakazi kwenye migodi yake ukiwemo wa Buzwagi wilayani Kahama mkoani Shinyanga.
Bei ya Dhahabu kwa mwaka 2014 imekuwa chini ya dola 1,300 kwa ounce moja kwa muda mrefu na kufikia Novemba bei ilikuwa 1,129 kwa ounce moja hali ambayo imeleta mtikisiko wa uendeshaji wa makampuni ya uchimbaji wa Dhahabu.
Ilikuwa ni siku...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XmV1O3U-xx4/VZHCv08teOI/AAAAAAAARks/WqTCs1Mx0vo/s72-c/E86A1886%2B%25281280x853%2529.jpg)
TIMU YA WATU 21 YA KAMPUNI YA KUCHIMBA DHAHABU YA ACACIA WASHUKA KUTOKA MLIMA KILIMANJARO,WACHANGISHA MILIONI 800 KWA AJILI YA ELIMU TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-XmV1O3U-xx4/VZHCv08teOI/AAAAAAAARks/WqTCs1Mx0vo/s640/E86A1886%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cCN8zZglqsg/VZHCwcMpjII/AAAAAAAARk0/Gy5SORXD49E/s640/E86A1893%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-N_fT-hj1aXo/VZHCxONJ9jI/AAAAAAAARk4/nViv3ApWAUU/s640/E86A1898%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oL1ZaEtiEBA/VZHC42LrgoI/AAAAAAAARlE/IgTbFcRJ7_0/s640/E86A1913%2B%25281280x853%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ICnnPld1xY0/U-pym1vqVTI/AAAAAAAF_FA/n9lLq2w59E0/s72-c/article-2722770-2078C76800000578-980_306x423.jpg)
snoop dogg aacha gumzo uingereza kwa kufikia hoteli ya kawaida ya bei poa
10 years ago
Dewji Blog02 Sep
Kampuni ya Shanta ya uchimbaji wa dhahabu yakabidhi hundi ya milioni 41.5 kwa kikundi cha Aminika Gold Mine cha Sambaru
Meneja mkuu wa shanta akizungumza kwenye mkutano wa makabidhiano ya hundi hiyo jana.
Na Hillary Shoo, IKUNGI
KAMPUNI ya uchimbaji wa Madini ya dhahabu ya Shanta mining Limited iliyopo katika kijiji cha Sambaru Kata ya Mang’onyi Wilayani Ikungi, imekabidhi hundi yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 4.23 kwa kikundi cha Aminika .
Msaada huo umekabidhiwa kwa bodi ya Wakurugenzi wa kikundi hicho cha Aminika jana na Meneja Mkuu wa Kampuni ya Shanta, Zone Swanepoel katika kijiji cha...
9 years ago
Bongo521 Nov
Video: Ifahamu Chizika, App ya kusikiliza muziki kwa simu iliyotengenezwa na watanzania
![11356960_388937114632648_737681832_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11356960_388937114632648_737681832_n-300x194.jpg)
Ulimwengu wa sasa wa muziki umehamia kwenye smartphones. Kwa Ulaya na Marekani wapenzi wa muziki kwa sasa wanasikiliza zaidi nyimbo wazipendazo kwenye platform maarufu kama vile Spotify, Apple Music, Tidal na zingine.
Mtumiaji wa app hizo hufanya malipo kwa mwezi au mwaka na kuwa na uwezo wa kusikiliza mamilioni ya nyimbo. Tanzania nayo haiku nyuma.
Vijana wawili, Ali Makongo aka Young Siza na mtangazaji wa kipindi cha Daladala Beat cha Magic FM, Jimmy Jamal aka Jimmy Jay wameanzisha app...
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Seneta Mike Sonko kutoa Magari yake ya Bei kwa Maharusi.
![](http://api.ning.com/files/LXZYmTRupZ94VwKRhGsEBxLCcGHoUh3ggn*fwyR*2CQ3cpPIe5GR4BZ*hzqI1CmG5wkEOFLbljZJafZomiJUnofhQsyMHDmx/sonko1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/LXZYmTRupZ-kGTPpi5V-RflXMrbyb-dydFXwzkUoqbE*MX-k4SmVjMKXObDrBsfTvY8IpuM16ctv4a6y0EbSJaRNjsB-G48i/ask.jpg)
Watu Wangu,
THE ESSENCE OF TRUE LEADERSHIP IS TO ADD VALUE to the lives of those you lead during your period in leadership.
I am kicking off this year by focusing more on...
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Mipango ya tamasha la Lady Gaga Uingereza yazinduliwa
10 years ago
Bongo502 Mar
Mtangazaji wa Times FM aporwa iPhone 6 ya dhahabu yenye thamani ya shilingi milioni 3.8
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Minaj amtoa kaka yake jela kwa milioni 200/-
NEW YORK, MAREKANI
MKALI wa muziki wa hip hop nchini Marekani kutoka kundi la Young Money Records, Nick Minaj, amefanikiwa kumtoa kaka yake, Jelani Miraj, kifungoni baada ya kulipa dola 100,000 sawa na zaidi ya Sh milioni 200.
Jelani alipelekwa jela kutokana na kosa la kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 12, ambapo alianza kukitumikia kifungo tangu Aprili mwaka huu, lakini msanii huyo alifanikiwa kutoa kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya kaka yake.
Nick amekuwa akifanya makubwa kwa kaka...