Video: Ifahamu Chizika, App ya kusikiliza muziki kwa simu iliyotengenezwa na watanzania
Ulimwengu wa sasa wa muziki umehamia kwenye smartphones. Kwa Ulaya na Marekani wapenzi wa muziki kwa sasa wanasikiliza zaidi nyimbo wazipendazo kwenye platform maarufu kama vile Spotify, Apple Music, Tidal na zingine.
Mtumiaji wa app hizo hufanya malipo kwa mwezi au mwaka na kuwa na uwezo wa kusikiliza mamilioni ya nyimbo. Tanzania nayo haiku nyuma.
Vijana wawili, Ali Makongo aka Young Siza na mtangazaji wa kipindi cha Daladala Beat cha Magic FM, Jimmy Jamal aka Jimmy Jay wameanzisha app...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo513 Nov
Asia wa ‘Leo’ atengeneza app ya simu ili kuwawezesha mashabiki kupata muziki wake kwa urahisi
9 years ago
Bongo516 Oct
Video: Ifahamu simu mpya ya Tecno, Phantom 4
9 years ago
Bongo516 Oct
Video: Ifahamu simu mpya ya Tecno, Phantom 5
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MJemUTqR2Q0/VDMo5rfC12I/AAAAAAAGoc4/wrGqOk-YSAM/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
UNUNUAJI NA UUZAJI WA BIDHAA UMERAHISISHWA — KAMPUNI YA MASOKO KWA NJIA YA MTANDAO YAZINDUA “APP” YA SIMU ZA MKONONI TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-MJemUTqR2Q0/VDMo5rfC12I/AAAAAAAGoc4/wrGqOk-YSAM/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
Mchakato wa uuzaji na ununuaji wa bidhaa umerahisishwa sana kwa kadri waendashaji wa makampuni ya biashara kwa njia ya intaneti wanavyozidi kuwa wabunifu na wagunduzi zaidi. Kaymu Tanzania, kampuni inayoongoza kwa kuuza na kununua vitu kwa njia ya mtandao imejitanua zaidi baada ya kuzindua app (programu ya simu) yake Septemba 2014.Kaymu Tanzania imezindua huduma zake za kwanza za programu ya simu nchini, hivyo kuwawezesha watumiaji wa Android kufanya manunuzi ya bidhaa na kuweka oda moja kwa...
9 years ago
Bongo521 Dec
Ali Choki asema muziki anaopenda zaidi kusikiliza ni Hip Hop
![choki](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/choki-300x194.jpg)
Muimbaji wa muziki wa dansi nchini, Ali Choki a.k.a mzee wa farasi ameweka wazi kuwa katika maisha yake ya kila siku anapenda zaidi kusikiliza muziki wa Hiphop kuliko aina yoyote nyingine ya muziki.
Ali Choki alisema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Weekend Breakfast ya East Africa Radio siku ya Jumapili, Choki amedai hata siri kubwa ya uandishi wake pamoja na visa anavyokuwa anaimba vinatokana na kusikiliza sana muziki wa Hip Hop hasa zaidi kwa rappers kutoka nje.
“Unajua kitu ambacho...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7YJi9SYEVEo/XruP-GkuOWI/AAAAAAALp_c/PXrvGCqJk10fgczJYvAnCUGbX73NwxbzwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200511-WA0022-768x576.jpg)
MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KANDA YA SONGEA YAANZA KUSIKILIZA MASHAURI NA KUTOA HUKUMU KWA 'VIDEO CONFERENCE'.
![](https://1.bp.blogspot.com/-7YJi9SYEVEo/XruP-GkuOWI/AAAAAAALp_c/PXrvGCqJk10fgczJYvAnCUGbX73NwxbzwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200511-WA0022-768x576.jpg)
Na Brian Haule –Mahakama Kuu Songea
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Songea imeanza kusikiliza mashauri na kutoa hukumu kwa Mahakama Mtandao yaani ‘Video Conference’.
Mahakama hiyo imeanza kusikiliza mashauri kwa njia hiyo, baada ya jitihada za Mahakama ya Tanzania kununua vifaa maalumu vya kuendesha mahakama kwa mtandao kwa ajili ya mahakama mbalimbali nchini, ikiwa ni hatua za kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa (COVID 19) sambamba na...
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Apple yazindua app ya muziki kuipiga Spotify
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Y0yoFbHKm8o/VT9Zk8qt6JI/AAAAAAAC3ug/XVfYGITxgyg/s72-c/1.jpg)
Download App Ya Mjengwablog Upate Mengi Kwenye Simu Yako...!
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y0yoFbHKm8o/VT9Zk8qt6JI/AAAAAAAC3ug/XVfYGITxgyg/s1600/1.jpg)