Asia wa ‘Leo’ atengeneza app ya simu ili kuwawezesha mashabiki kupata muziki wake kwa urahisi
Msanii wa muziki anayetamba na wimbo wa ‘Leo’ Asia Mjun ametengeneza app yake binafsi ‘Asia Mjun’ itayowawezesha mashabiki wa muziki wake kupata muziki wake kwa urahisi. Akizungumza jana na radio Free Africa, Asia amesema hii itawasaidia mashabiki wake kupata kazi zake pamoja na profile yake ya muziki. “Mimi kama msanii wa kwanza naweza nikasema hivyo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Nov
Video: Ifahamu Chizika, App ya kusikiliza muziki kwa simu iliyotengenezwa na watanzania
![11356960_388937114632648_737681832_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11356960_388937114632648_737681832_n-300x194.jpg)
Ulimwengu wa sasa wa muziki umehamia kwenye smartphones. Kwa Ulaya na Marekani wapenzi wa muziki kwa sasa wanasikiliza zaidi nyimbo wazipendazo kwenye platform maarufu kama vile Spotify, Apple Music, Tidal na zingine.
Mtumiaji wa app hizo hufanya malipo kwa mwezi au mwaka na kuwa na uwezo wa kusikiliza mamilioni ya nyimbo. Tanzania nayo haiku nyuma.
Vijana wawili, Ali Makongo aka Young Siza na mtangazaji wa kipindi cha Daladala Beat cha Magic FM, Jimmy Jamal aka Jimmy Jay wameanzisha app...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-azZA5E--RyE/VlYkIeDiOwI/AAAAAAAIIaM/bove7Pc73jY/s72-c/40c8b8d5-8024-4fe4-8b75-13e973062579.jpg)
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi
11 years ago
Michuzi06 May
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2N4gjkMG2EF51TnAjvt8y1UFsH4qsGrJsAaV6dZ*hBdMbPW02ruJp-7Ht6JK8ulmFa5yeW80jJOzILB2YVmJYpM/wadauwakiwakwenyeredcarpet.jpg?width=650)
ASIA IDALOUS: MUZIKI WA MWAMBAO ASILIA UNA MGUSO WAKE
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Asia Idarous: Muziki wa mwambao asilia una mguso wake
MWANAMITINDO mkongwe na mdau wa muziki wa mwambao asilia, Asia Idarous Khamsin, amesema muziki huo una mguso wake hivyo jamii inatakiwa kuupokea na kuuenzi. Asia ambaye pia ni Mkurugenzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b6-3nGbVi0Q/XlaR5UgS5HI/AAAAAAAEFz8/HTXgsTASh-8vqILkIW6e74ZAXeiXYhTggCLcBGAsYHQ/s72-c/2dec0f48-c958-40c0-b6b4-572f1efcbd7b.jpg)
Zantel yazindua BongaMpakaBasi kuwawezesha wateja kupiga simu mitandao yote kwa gharama nafuu
Huduma hiyo, itawafanya wateja wa Zantel kupiga simu kwenda mitandao mingine kwa gharama ileile ya kupiga ndani ya mtandao kupitia kifurushi kimoja cha ‘BongaMpakaBasi’.Bidhaa hiyo inatajwa kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii hapa nchini.
Akizungumza wakati wa uzinduzi...
10 years ago
Vijimambo07 Nov
SKYLIGHT BAND YAZIDI KUWABAMBA MASHABIKI WAKE WA MUZIKI WA LIVE, TUKUTANE BAADAE THAI VILLAGE
![DSC_0225](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0225.jpg)
![DSC_0179](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0179.jpg)
![DSC_0242](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0242.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Nov
Skylight Band yazidi kuwateka mashabiki wake wa muziki wa live, tukutane baadae Thai Village
Majembe ya Skylight Band yakitoa burudani ya kukata na shoka kwa mashabiki wao Ijumaa iliyopita ndani ya ukumbi wa Thai Village Masaki jijini Dar..Kutoka kushoto ni Aneth Kushaba AK47, Mkongwe wa muziki wa dansi Joniko Flower, Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa bongo, Digna Mbepera na Sam Mapenzi.
Sehemu ya umati wa mashabiki wa Skylight Band wakiburudika na sebene la Nasaka Dough ndani ya kiota cha Thai Village Masaki Ijumaa iliyopita.
Kikosi kazi cha Skylight Band kikiongozwa na rapa...