Zantel yazindua BongaMpakaBasi kuwawezesha wateja kupiga simu mitandao yote kwa gharama nafuu
![](https://1.bp.blogspot.com/-b6-3nGbVi0Q/XlaR5UgS5HI/AAAAAAAEFz8/HTXgsTASh-8vqILkIW6e74ZAXeiXYhTggCLcBGAsYHQ/s72-c/2dec0f48-c958-40c0-b6b4-572f1efcbd7b.jpg)
Katika kuleta unafuu wa huduma za mawasiliano nchini, Kampuni ya simu ya Zantel leo imezindua bidhaa ya bando ijulikanayo kama ‘BongaMpakaBasi’ili kuwawezesha wateja wake kupiga simu kwenda mitandao yote kwa gharama nafuu.
Huduma hiyo, itawafanya wateja wa Zantel kupiga simu kwenda mitandao mingine kwa gharama ileile ya kupiga ndani ya mtandao kupitia kifurushi kimoja cha ‘BongaMpakaBasi’.Bidhaa hiyo inatajwa kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii hapa nchini.
Akizungumza wakati wa uzinduzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Zantel yazindua ofa ya msimu wa sikukuu kwa wateja wake
Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin.
Kampuni ya simu ya Zantel leo imetangaza kuzindua ofa maalumu kwa ajili ya msimu wa sikukuku yenye lengo la kuwazawadia wateja wake muda wa maongezi bure na nyongeza ya asilimia 20% katika kila manunuzi ya vifurushi au muda wa maongezi wanayofanya kupitia huduma ya Ezypesa.
Ofa hii pia itamzawadia kila mteja wa Zantel anayefanya manunuzi ya muda wa maongezi usio chini ya shillingi elfu moja kuweza kupata dakika za bure za kupiga Zantel kwenda...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Rgh1NJzj8CY/VifqajpCbzI/AAAAAAAIBjU/d9Q4PR8gjhc/s72-c/1.jpg)
ZANTEL YAZINDUA OFA MPYA YA MUDA WA ZIADA KWA WATEJA WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-Rgh1NJzj8CY/VifqajpCbzI/AAAAAAAIBjU/d9Q4PR8gjhc/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q2KRoEyqomI/Vifqa6zeJ-I/AAAAAAAIBjc/duReSgBst2o/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ShB8hhoKY9Q/VifqepwkkwI/AAAAAAAIBjs/rbmV3ymB81U/s640/4.jpg)
KAMPUNI ya simu ya Zantel leo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6Fzl4J5n_uQ/U0FZ4d3eewI/AAAAAAAAS00/_9skPByj8Xg/s72-c/01.jpg)
BRIEN HOLDEN YAZINDUA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO NA UTOAJI MIWANI KWA GHARAMA NAFUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Fzl4J5n_uQ/U0FZ4d3eewI/AAAAAAAAS00/_9skPByj8Xg/s1600/01.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Wateja wa Tigo na ZANTEL sasa kufurahia huduma salama na uhakika ya kutumiana fedha kwenye Mitandao yao kwa 100%
Meneja Chapa wa Tigo William Mpinga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mjini Zanzibar mapema leo kuhusu ushirikiano kati ya TigoPesa na EzyPesa ambapo sasa wateja kutoka mitandao hiyo miwili wataweza kutuma na kupokea pesa kutoka mtandao hiyo moja kwa moja kutoka kwa wakala wa mtandao wao bila kuwa na ulazima tena wa mteja kutafuta wakala wa mtandao wa mtu aliyemtumia pesa.
Mkurugenzi wa Huduma za Kutuma na Kupokea Fedha wa Tigo Andrew Hodgson akitoa maelezo kwa waandishi...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-6Fzl4J5n_uQ/U0FZ4d3eewI/AAAAAAAAS00/_9skPByj8Xg/s1600/01.jpg)
BRIEN HOLDEN YAZINDUA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO NA UTOAJI MIWANI KWA GHARAMA NAFUU
11 years ago
Habarileo21 Jan
Tigo kurejesha gharama za laini za simu kwa wateja wake
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo imezindua utaratibu wa kurudishia wateja wake gharama zote za ununuzi wa laini za simu kwa kuwapa muda wa maongezi na salio katika akaunti za Tigo pesa.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-azZA5E--RyE/VlYkIeDiOwI/AAAAAAAIIaM/bove7Pc73jY/s72-c/40c8b8d5-8024-4fe4-8b75-13e973062579.jpg)
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
Gharama ya kupiga simu kupunguzwa
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9A0jwL6gbHw/Vl7dvJf0PaI/AAAAAAAIJwQ/6d_uUiiVZSw/s72-c/DSCF9436.jpg)
NHIF YAZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO NA HUDUMA KWA WATEJA KUPITIA SIMU ZA MKONONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9A0jwL6gbHw/Vl7dvJf0PaI/AAAAAAAIJwQ/6d_uUiiVZSw/s640/DSCF9436.jpg)