Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BRIEN HOLDEN YAZINDUA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO NA UTOAJI MIWANI KWA GHARAMA NAFUU

Mwakilishi wa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Fulgens Lisakatu (katika)  akiakata utepe kuashiria uzinduzi wa miwani ya Kibo  ambayo itamuwezesha  mtanzania yeyote kuweza kupimamacho na kupewa miwani kwa gharama nafuu, (wapili kulia ) ni Rasi wa Chama cha wataalamu wa macho nchini (TOA) Frank Magupa  (wapili  kushoto) ni Ofisa Mkazi wa Shirika  la   Brien Holden  Vision Institute  hapa nchini Eden Mashayo, wakwanza kushoto ni mratibu wa mradi huo Rebecca...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BRIEN HOLDEN YAZINDUA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO NA UTOAJI MIWANI KWA GHARAMA NAFUU‏

Mwakilishi wa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Fulgens Lisakatu (katikati) akiakata utepe kuashiria uzinduzi wa miwani ya Kibo ambayo itamuwezesha Mtanzania yeyote kuweza kupima macho na kupewa miwani kwa gharama nafuu, (wa pili kulia ) ni Rasi wa Chama cha wataalamu wa macho nchini (TOA), Frank Magupa  (wa pili  kushoto) ni Ofisa Mkazi wa Shirika la Brien Holden Vision Institute  hapa nchini Eden...

 

11 years ago

GPL

TAASISI YA BRIEN HOLDEN KUZINDUA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO NA UTOAJI MIWANI KWA GHARAMA NAFUU‏

Ofisa Mkazi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Brien Holden Vision, Eden Mashayo akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam jana kuhisina na uzinduzi wa upimaji macho utakao fanyika Dar es Slaam free market mkabala na kituo cha DSTV, Kinondoni jijini Dr es Salaam. Kushoto ni Mratibu mradi huo Violet Shirima.  Ofisa Mkazi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Brien Holden Vision, Eden Mashayo akionesha miwani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Brien Holden Vision yatoa msaada wa vifaa vya kupimia macho Wilaya ya Mkuranga na Kibaha

01

Afisa Mkazi wa taasisi isiyo ya Kiserikali ya  Brien Holden Vision Institute, Eden Mahayo akisisitiza jambo wakati  alipofika katika hospitali ya Wilaya ya Mkuranga  kukabidhi msaada wa vifa vya macho kwa ajili ya wanafunzi wa shule za msingi 122 za  Mkuranga ambapo wanafunzi hao watapata huduma ya kupima na kutibiwa macho bure. Kulia ni  Mganga mkuu wa Wilaya hiyo Dkt.Francis Mwanisi,Kaimu Mkurugenzi wa Mkuranga  Benjamin Majoya na  Mratibu wa Taifa wa Huduma ya Macho Dkt.Nkundwe...

 

5 years ago

Michuzi

Zantel yazindua BongaMpakaBasi kuwawezesha wateja kupiga simu mitandao yote kwa gharama nafuu

Katika kuleta unafuu wa huduma za mawasiliano nchini, Kampuni ya simu ya Zantel leo imezindua bidhaa ya bando ijulikanayo kama ‘BongaMpakaBasi’ili kuwawezesha wateja wake kupiga simu kwenda mitandao yote kwa gharama nafuu.
Huduma hiyo, itawafanya wateja wa Zantel kupiga simu kwenda mitandao mingine kwa gharama ileile ya kupiga ndani ya mtandao kupitia kifurushi kimoja cha ‘BongaMpakaBasi’.Bidhaa hiyo inatajwa kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii hapa nchini.
Akizungumza wakati wa uzinduzi...

 

10 years ago

Michuzi

WANAFUNZI MKOANI MBEYA WAFAIDIKA NA HUDUMA YA BURE ZA MACHO KUPITIA BRIEN HOLDING VISION

Mratibu wa Mradi wa Macho kwa shule za msingi kupitia mradi wa afya ya macho kwa mtoto unaofadhiliwa na benki ya Standard Chartered (Seeing is Believing) kutoka shirika lisilo la kiserikali la Brien Holden Vision Institute Violeth Shirima (kushoto) akimkabidhi msaada wa sanduku la vifaa vya macho vyenye thamani ya shilingi milioni 48 Muuguzi Msaidizi wa Huduma za Macho wa Hospitali ya Wilaya ya Kyela, Monica Francis (kulia) wakati wa hafla iliyofanyika katika hospitali ya mkoa wa Mbeya....

 

10 years ago

GPL

WANAFUNZI MKOANI MBEYA WAFAIDIKA NA HUDUMA YA BURE ZA MACHO KUPITIA BRIEN HOLDING VISION‏


Mratibu wa Mradi wa Macho kwa shule za msingi kupitia mradi wa afya ya macho kwa mtoto unaofadhiliwa na benki ya Standard Chartered (Seeing is Believing)  kutoka shirika lisilo la kiserikali la Brien Holden Vision Institute Violeth Shirima  (kushoto) akimkabidhi msaada wa sanduku la vifaa vya macho  vyenye thamani ya shilingi milioni 48 Muuguzi Msaidizi wa Huduma za Macho wa Hospitali ya  Wilaya ya Kyela, Monica...

 

11 years ago

Michuzi

CRDB yazindua huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi KCMC

Askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheli dayosisi ya kaskazini Dk Martini Shao akiwa na mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB pamoja na kaimu mkurugenzi wa hosptali ya KCMC .Prof Raimosi Ollomi wakati akizindua tawi dogo la Benki ya CRDB. Mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB,Dk Charles Kimei akimuelekeza jambo Askofu Dk Martin Shao kabla ya uzinduzi wa huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi. Askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheli dayosisi ya kaskazini,Dk Martin...

 

10 years ago

Mwananchi

Wauguzi ni nguvu ya mabadiliko, ufanisi na huduma za gharama nafuu

Siku ya Wauguzi Duniani huadhimishwa Mei 12, kila mwaka.Mwaka huu siku hii iliadhimishwa Jumanne wiki hii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani