Gharama ya kupiga simu kupunguzwa
Watuamiaji wa simu za mkononi nchini Kenya,Rwanda na Uganda hivi karibuni watakuwa wakipiga simu kwa bei nafuu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b6-3nGbVi0Q/XlaR5UgS5HI/AAAAAAAEFz8/HTXgsTASh-8vqILkIW6e74ZAXeiXYhTggCLcBGAsYHQ/s72-c/2dec0f48-c958-40c0-b6b4-572f1efcbd7b.jpg)
Zantel yazindua BongaMpakaBasi kuwawezesha wateja kupiga simu mitandao yote kwa gharama nafuu
Huduma hiyo, itawafanya wateja wa Zantel kupiga simu kwenda mitandao mingine kwa gharama ileile ya kupiga ndani ya mtandao kupitia kifurushi kimoja cha ‘BongaMpakaBasi’.Bidhaa hiyo inatajwa kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii hapa nchini.
Akizungumza wakati wa uzinduzi...
10 years ago
Habarileo31 May
Gharama za kupima ardhi kupunguzwa
SERIKALI imesema katika mwaka ujao wa fedha itapunguza gharama za upimaji ardhi kwa zaidi ya nusu ili kuwawezesha wanachi kupima maeneo yao, hali ambayo inaonekana itapunguza migogoro ya ardhi.
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Gharama za simu mjadala mzito
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-euz1Nr9ehu4/VOxEpt9DsqI/AAAAAAAAH74/R9UW79lpbDU/s72-c/2fb24-page0001.jpg)
10 years ago
Mwananchi20 Feb
GHARAMA: ‘Tozo za huduma za simu hazizuiliki’
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Kodi kubwa za simu zinaongeza gharama
WAKATI bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2014/15 ikitarajiwa kuwasililishwa bungeni kesho, masikio ya Watanzania wengi yameelekezwa huko yakitaka kusikia kama italeta ahueni au itaongeza gharama za maisha. Katika...
11 years ago
Habarileo21 Jan
Tigo kurejesha gharama za laini za simu kwa wateja wake
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo imezindua utaratibu wa kurudishia wateja wake gharama zote za ununuzi wa laini za simu kwa kuwapa muda wa maongezi na salio katika akaunti za Tigo pesa.
11 years ago
Mwananchi11 Jul
AFRIKA MASHARIKI: Wateja wa simu za mkononi EAC kupungizwa gharama
5 years ago
MichuziWENGI WENYE SIMU ZA GHARAMA MATUMIZI YAKE HAYAENDANI NA THAMANI- ISOC
Wadau wakiendelea kupata mafunzo kutoka kwa watoa mada wakati wa mafunzo hayo.
Katibu Mkuu wa Shirika la Internet Society Tanzania Chapter (ISOC) Pamela Chogo akijibu maswali ya wadau wa mtandao wakati wa mafunzo hayo.
Baadhi ya wadau wa masuala ya mtandao wakiwa kwenye semina ya mafunzo ya usalama kwa watumiaji wa intaneti yaliyoandaliwa na Shirika la Internet Society Tanzania Chapter(ISOC)leo Machi 14 mwaka 2020.Mafunzo hayo yamefanyika wilayani kigamboni jijini Dar es Salaam.
Wadau wa...