Gharama za vifurushi vya simu Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-euz1Nr9ehu4/VOxEpt9DsqI/AAAAAAAAH74/R9UW79lpbDU/s72-c/2fb24-page0001.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo524 Feb
Vifurushi vipya vya mitandao: TCRA yatoa tamko na maagizo kwa makampuni ya simu
Mamlaka ya mawasiliano nchini, TCRA imetoa tamko kuhusiana na malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za simu nchini kufuatia kubadilika kwa vifurushi vya mawasiliano. Malalamiko hayo yalikuja baada ya baadhi ya mitandao ya simu kupunguza ukubwa wa data anazopata mtumiaji wa simu anapojiunga na vifurushi vya muda wa maongezi, sms na data kwa pamoja. Baadhi […]
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gr3iNOcPHxE/U32oQSHFhcI/AAAAAAAFkXQ/MR9_Y6sHd54/s72-c/18.jpg)
Airtel yazindua huduma ya kipekee ya vifurushi vya data maalum kwa simu na mahitaji ya kila mteja
Kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel jana ilizindua huduma kabambe ya Intaneti itakayojulikana kama SWITCH ON. Huduma hiyo ni maalum kwa watumiaji wa huduma za Interneti Tanzania ambapo sasa wateja wa Airtel wataweza kufuruhai huduma ya kipekee ya vifurushi vya data/intaneti maalum kwa simu na mahitaji ya kila mteja.
Akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo Mkurugenzi wa Masoko wa Airtel Tanzania Bw, Levi Nyakundi alisema “ ulimwengu wa leo matumizi ya huduma za intaneti/data au mtandao...
Akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo Mkurugenzi wa Masoko wa Airtel Tanzania Bw, Levi Nyakundi alisema “ ulimwengu wa leo matumizi ya huduma za intaneti/data au mtandao...
9 years ago
Mwananchi28 Sep
TCRA yaamuru kampuni za simu kutenganisha vifurushi
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeziagiza kampuni za simu kuanzisha vifurushi vinavyotenganisha huduma za inteneti, sauti na meseji ili kuwapatia machaguo wananchi na kuwapunguzia gharama zisizo za lazima.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWnoBVRnwbdPM0*syHwbUMi*33OcnV4*gLKEM9BZvnwXu1iW6-uXI*jD206jaOaflwFD1B6C20If95pVaCZcGqcz/AzamTVsml.png?width=650)
AZAM TV YAJA NA KAMPENI YA RELOADED NA VIFURUSHI VITATU VYA MWEZI
Kuanzia leo tarehe 1 March 2015 azamtv inakuletea punguzo la bei ya kisimbuzi, sasa utapata azamtv kwa shilingi 99,000!!! Hii ikijumuisha decoder,dishi na vifaa vyote pamoja na makato yote ya VAT!!
Azamtv inakupa uhuru wa kuchagua kulingana na kipato chako kwa kuzingatia hali tofauti za kiuchumi kwa Watanzania ili kuifanya iwe burudani kwa wote. Tumewaletea vifurushi vipya vitatu vya bei vya malipo ya mwezi navyo ni:
AZAM PURE...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q0vXUJAVN6GleWEWSiheF8Etnb-kOVq0aF1RoSCrDPe36guK5byUUonaoee2sXzQE4cJwSIGaSISbiShyliFwKS/Pic1.jpg?width=650)
AIRTEL YAZINDUA WHATSAPP, FACEBOOK NA TWITTER BURE KUPITIA VIFURUSHI VYA YATOSHA
kampuni ya simu za mkononi ya Airtel inayoongoza kwa kutoa huduma bora imezindua huduma ya kibunifu itakayowawezesha wateja wake kupata na kuunganishwa kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook, Whatsapp na twitter BURE kupitia huduma ya Airtel yatosha. Akiongelea kuhusu huduma hiyo Mkuu wa kitengo cha mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano Mallya alisema†sasa ni bure kabisa kwa wateja wetu wote wa Airtel kuunganishwa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1A6NXIkUjtk/XsWC50Zy04I/AAAAAAAAQuU/y81YtfyroDU9BcIQBeIKhAR58AgXKo4HQCLcBGAsYHQ/s72-c/st%2Bjude.jpg)
WANAFUNZI 1800 WA SHULE YA ST.JUDE ARUSHA KUNUFAIKA NA VIFURUSHI VYA MASOMO WAKIWA MAJUMBANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-1A6NXIkUjtk/XsWC50Zy04I/AAAAAAAAQuU/y81YtfyroDU9BcIQBeIKhAR58AgXKo4HQCLcBGAsYHQ/s640/st%2Bjude.jpg)
Vero Ignatus,Arusha
Shule ya St Jude imebidi itumie ubunifu ili kuwasaidia wanafunzi kuendelea kujifunza na kuwa na motisha ya kusoma baada ya waalimu kutengeneza vifurushi vya kujisomea,ambavyo vina vitini vya kila somo, karatasi za kazi, na mitihani ya mock ya kufanyiwa nyumbani kwa wanafunzi wa madaraja yote
Shule hiyo yenye wanafunzi wanaotoka katika Kaya masikini ya St Jude iliyopo mkoani Arusha, imezindua mpango mpya wa kuendelea kuwafundisha wanafunzi wao bure wakiwa majumbani kwa...
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
Gharama ya kupiga simu kupunguzwa
Watuamiaji wa simu za mkononi nchini Kenya,Rwanda na Uganda hivi karibuni watakuwa wakipiga simu kwa bei nafuu.
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Gharama za simu mjadala mzito
Wakati Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeziagiza kampuni za simu kutoa maelezo kuhusu mabadiliko ya gharama za vifurushi vya muda wa maongezi, Vodacom Tanzania imeeleza kuwa mabadiliko hayo yanatokana na ongezeko la kodi na hivyo kulazimika “kubadili mazingira ya kibiashara ili kuepuka hasaraâ€.
10 years ago
Mwananchi20 Feb
GHARAMA: ‘Tozo za huduma za simu hazizuiliki’
>Wakati Watanzania wakizidi ‘kutoboa’ mifuko yao kununua vifurushi vya kupiga simu na kutuma ujumbe wa mfupi, baada ya mabadiliko ya viwango vya huduma hizo, Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo imesema mabadiliko hayo hayazuiliki kutokana na changamoto za uwekezaji.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania