Airtel yazindua huduma ya kipekee ya vifurushi vya data maalum kwa simu na mahitaji ya kila mteja
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gr3iNOcPHxE/U32oQSHFhcI/AAAAAAAFkXQ/MR9_Y6sHd54/s72-c/18.jpg)
Kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel jana ilizindua huduma kabambe ya Intaneti itakayojulikana kama SWITCH ON. Huduma hiyo ni maalum kwa watumiaji wa huduma za Interneti Tanzania ambapo sasa wateja wa Airtel wataweza kufuruhai huduma ya kipekee ya vifurushi vya data/intaneti maalum kwa simu na mahitaji ya kila mteja.
Akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo Mkurugenzi wa Masoko wa Airtel Tanzania Bw, Levi Nyakundi alisema “ ulimwengu wa leo matumizi ya huduma za intaneti/data au mtandao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-azZA5E--RyE/VlYkIeDiOwI/AAAAAAAIIaM/bove7Pc73jY/s72-c/40c8b8d5-8024-4fe4-8b75-13e973062579.jpg)
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q0vXUJAVN6GleWEWSiheF8Etnb-kOVq0aF1RoSCrDPe36guK5byUUonaoee2sXzQE4cJwSIGaSISbiShyliFwKS/Pic1.jpg?width=650)
AIRTEL YAZINDUA WHATSAPP, FACEBOOK NA TWITTER BURE KUPITIA VIFURUSHI VYA YATOSHA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ro93ZZ9vlEs/U-nqz0mireI/AAAAAAAF-4s/C2ipjceq4XA/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Airtel yazindua huduma mpya ya mitindo kwa njia ya simu kwa kushirikiana na Mbunifu Mahiri Afrika Mustafa hassanali.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ro93ZZ9vlEs/U-nqz0mireI/AAAAAAAF-4s/C2ipjceq4XA/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-d46SnNLCKyA/UxbVutu3dtI/AAAAAAAFRKo/jBRB5KmzuuE/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Airtel yazindua huduma ya Breaking news kupitia simu
![](http://2.bp.blogspot.com/-d46SnNLCKyA/UxbVutu3dtI/AAAAAAAFRKo/jBRB5KmzuuE/s1600/unnamed+(14).jpg)
Dar es Salaam, Airtel imezindua huduma mpya ya utaoaji wa taarifa za hapo kwa papo .Huduma hiyo inayojulikana kama Airtel Mwananchi Breaking news itahusisha utoaji wa habari kupitia wateja wa simu za mkononi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5RmqRcOXFouMY-jLVePqHIj6p3iVIPoBB1EpXfT8K2A5LCZiGNH7f4mVZ-gUcgSqGoz9ecXj0ZtofvwuRQ4cMsl9H/techno1.jpg?width=650)
AIRTEL KUPITIA HUDUMA YA SWITCH ON YAZINDUA OFA KAMBABE YA SIMU NA TECNO H5 MPYA
10 years ago
Bongo524 Feb
Vifurushi vipya vya mitandao: TCRA yatoa tamko na maagizo kwa makampuni ya simu
10 years ago
StarTV03 Feb
Airtel yazindua promoseni mteja kujishindia gari.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam.
Kampuni ya simu za Mkononi ya Airtel imezindua promosheni ya Airtel Yatosha zaidi ambapo wateja wanaotumia vifurushi vya Airtel yatosha watapata fursa kujishindia gari aina ya IST lenye thamani ya Shilingi milioni 15.
Promosheni hiyo ambayo itafanyika katika kipindi cha miezi miwili imelenga kutoa zawadi ya gari moja kila siku kwa wateja wake waliojiunga na kifurushi cha siku, wiki na mwezi.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya Airtel Beatrice...
10 years ago
StarTV16 Dec
Airtel yazindua ofa maalum kwa wateja.
Na Lilian Mtono
Dar es Salaam
Kampuni ya simu za mkononi ya airtel imezindua ofa maalumu ya simu, inayoenda bega kwa bega na kuwazawadia wateja wake wakati wa msimu huu wa sikukuu za krismas na mwaka mpya.
Ofa hii itajumuisha simu za kisasa kwa bei nafuu pamoja, vifurushi vya muda wa maongezi na internet.
Uzinduzi wa ofa unakuja ukiwa ni sehemu ya mpango wa airtel wa kutoa huduma bora zaidi na kuwawezesha wateja wake kufaidika hasa kwenye kipindi hiki cha sikukuu.
Chini ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-euz1Nr9ehu4/VOxEpt9DsqI/AAAAAAAAH74/R9UW79lpbDU/s72-c/2fb24-page0001.jpg)