Airtel yazindua promoseni mteja kujishindia gari.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam.
Kampuni ya simu za Mkononi ya Airtel imezindua promosheni ya Airtel Yatosha zaidi ambapo wateja wanaotumia vifurushi vya Airtel yatosha watapata fursa kujishindia gari aina ya IST lenye thamani ya Shilingi milioni 15.
Promosheni hiyo ambayo itafanyika katika kipindi cha miezi miwili imelenga kutoa zawadi ya gari moja kila siku kwa wateja wake waliojiunga na kifurushi cha siku, wiki na mwezi.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya Airtel Beatrice...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gr3iNOcPHxE/U32oQSHFhcI/AAAAAAAFkXQ/MR9_Y6sHd54/s72-c/18.jpg)
Airtel yazindua huduma ya kipekee ya vifurushi vya data maalum kwa simu na mahitaji ya kila mteja
Kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel jana ilizindua huduma kabambe ya Intaneti itakayojulikana kama SWITCH ON. Huduma hiyo ni maalum kwa watumiaji wa huduma za Interneti Tanzania ambapo sasa wateja wa Airtel wataweza kufuruhai huduma ya kipekee ya vifurushi vya data/intaneti maalum kwa simu na mahitaji ya kila mteja.
Akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo Mkurugenzi wa Masoko wa Airtel Tanzania Bw, Levi Nyakundi alisema “ ulimwengu wa leo matumizi ya huduma za intaneti/data au mtandao...
Akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo Mkurugenzi wa Masoko wa Airtel Tanzania Bw, Levi Nyakundi alisema “ ulimwengu wa leo matumizi ya huduma za intaneti/data au mtandao...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR4kGmgdrHb*sG4gXbj*W4Saz0pBnM8P7xhlPbk8h-qHbc9C*DRglJfp70R6eWbJ7CP7U1DyNVC51xURfA**f*bP/1.jpg?width=650)
WATEJA WA AIRTEL KUJISHINDIA MAMILIONI YA PESA
Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (kulia), akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa promosheni mpya ya Airtel 'Jiongeze na Mshiko' itakayomuwezesha mteja wa mtandao huo kujishindia mamilioni ya pesa kwa njia ya SMS. Katikati ni Meneja wa Huduma za Ziada wa Airtel, Prisca Tembo na ofisa Huduma za Ziada, Fabian Felician. Meneja wa Huduma za Ziada wa Airtel, Prisca Tembo (katikati), akizungumza na...
10 years ago
Vijimambo12 Feb
MAUAJI YA MTEJA WA GARI. Ndugu wasimulia
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mauwaji-12feb2015.jpg)
Mapya yameibuka katika mauaji ya Farahan Maluli (30), anayedaiwa kuuawa na rafiki yake ambaye ni mtoto wa bosi wake baada ya ndugu wa marehemu kuzungumzia jinsi marehemu alivyokuwa akitoa fedha kwa mtuhumiwa wa mauaji hayo.
Ndugu wa marehemu walifichua siri hiyo wakati wakizungumza na NIPASHE kwenye mazishi ya kijana huyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aMYALpWXWD4/XrlWhgnz66I/AAAAAAALpzI/_XxSbEZp5pIfSnn31aG8VsSZIL3CM2ANwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-11%2Bat%2B12.21.38.jpeg)
WASIKILIZAJI WA WASAFI REDIO NCHINI KUJISHINDIA GARI MPYA AINA YA ALTEZZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aMYALpWXWD4/XrlWhgnz66I/AAAAAAALpzI/_XxSbEZp5pIfSnn31aG8VsSZIL3CM2ANwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-11%2Bat%2B12.21.38.jpeg)
WASAFI Redio wameamua!Ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya watangazaji wa kipindi cha the switch kinachorushwa na Wasafi Redio pamoja na Wasafi TV kuamua kuitoa gari aina ya Altezza kwa ajili ya kushindaniwa na wasikilizaji wao ikiwa ni sehemu ya kutimiza ndoto za vijana walio wengi ambao wanaamani kumiliki gari hiyo.
Hivyo ili kushinda gari hiyo , wasikilizaji wa Wasafi Redio, Wasafi TV pamoja na wale wanaofuatilia mitandao ya kijamii ya Wasafi watatakiwa kusikiliza...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HJsiN2mDLBs/VjGWD5-oRuI/AAAAAAAIDUY/1pCdnyzOp34/s72-c/PICT%2B1%2B%25282%2529.jpg)
Wateja wa Airtel waendelea kujishindia pesa taslim kila wiki
![](http://1.bp.blogspot.com/-HJsiN2mDLBs/VjGWD5-oRuI/AAAAAAAIDUY/1pCdnyzOp34/s640/PICT%2B1%2B%25282%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WHiOuthZZaA/VjGWDYCgf7I/AAAAAAAIDUU/SHdaotCXAdQ/s640/PICT%2B2%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qB*eEYpVu7Oo0Oxyvaq9yVMM01ypjzDiA6gKOtHGd13D92qWGt1zQ2Oqmw56cOACeyrxkN-QEsTjH8kSBw5XLXcynYZDcOfK/BACKUWAZI.jpg?width=650)
MKE ASIMULIA MAPYA SAKATA LA MAUAJI YA MTEJA WA GARI
Haruni Sanchawa na Shani Ramadhani/Uwazi LILE sakata la mauaji ya mteja wa gari aliyekutwa amefukiwa katika nyumba moja Ilala Sharifu Shamba jijini Dar, Farahan Habusali Maluli (31) limeingia katika sura mpya baada ya mkewe, Tatu Ally (29) kuelezea mambo mapya juu ya tukio hilo la kusikitisha. ...Mtuhumiwa akiwa chini ya ulinzi. Akizungumza na Uwazi juzi nyumbani kwake, Maramba Mawili, Kinondoni, Dar, Tatu alisema mumewe...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IDSxpu6BW23L-FkTCjxgeGbm4SYDxfBMpa5cJPkH*xuCDTNWpb62Jlml1MERzVpl1kdqfzB-FFBAPt3v-ouX4N4Q6wIBtG4z/PICT12.jpg?width=650)
WATEJA WA AIRTEL WAENDELEA KUJISHINDIA PESA TASLIM KILA WIKI
Afisa mauzo wa Airtel Fabian Felician (kulia) akimzawadia shilingi million tatu, Bwana Isack Willson Mrema kutoka Dar Es Salaam baada ya kuwa mshindi katika droo ya kumi na tatu ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”. Meneja mauzo wa Airtel bwana Emmanuel Raphael (kulia) akimpongeza bwana Josephat Sagati (kushoto) kutoka Musoma, baada ya kuibuka mshindi katika droo ya kumi na tatu ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko” na...
11 years ago
GPLAIRTEL YAZINDUA LUKU OFA KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY
Meneja Uendesha kitengo cha Airtel Money Asupya Naligingwa akiongea wakati wa uzinduzi wa ofa itakayowawezesha wateja wa Airtel kupata LUKU Bonus kupitia huduma ya Airtel Money. Airtel Yazindua LUKU OFA kupitia huduma ya Airtel Money
· Wateja kupata bonus ya LUKU pale watakaponunua LUKU kupitia huduma ya Airtel money Dar es Salaam, Mei 5th 2014 Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imezindua ofa mpya itakayowawezesha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PFkGXzvV6ok/VF93IUAlDCI/AAAAAAACuco/epVvEyPYtpM/s72-c/PROF.%2BMBARAWA-5.jpg)
AIRTEL YAZINDUA HUDUMA MPYA YA AIRTEL MONEY TIMIZA MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-PFkGXzvV6ok/VF93IUAlDCI/AAAAAAACuco/epVvEyPYtpM/s1600/PROF.%2BMBARAWA-5.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania