Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATEJA WA AIRTEL WAENDELEA KUJISHINDIA PESA TASLIM KILA WIKI‏

Afisa mauzo wa Airtel Fabian Felician (kulia) akimzawadia shilingi million tatu, Bwana Isack Willson Mrema kutoka Dar Es Salaam baada ya kuwa mshindi katika droo ya kumi na tatu ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”. Meneja mauzo wa Airtel bwana Emmanuel Raphael (kulia) akimpongeza bwana Josephat Sagati (kushoto) kutoka Musoma, baada ya kuibuka mshindi katika droo ya kumi na tatu ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko” na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Wateja wa Airtel waendelea kujishindia pesa taslim kila wiki

 Afisa mauzo wa Airtel Fabian Felician (kulia) akimzawadia shilingi million tatu, Bwana  Isack Willson Mrema   kutoka Dar Es Salaam baada ya kuwa mshindi katika droo ya kumi na tatu ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”. Meneja mauzo wa Airtel bwana Emmanuel Raphael (kulia)  akimpongeza bwana   Josephat Sagati   (kushoto) kutoka Musoma, baada ya kuibuka mshindi   katika droo ya kumi na tatu ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko” na kujishindia shilingi milioni...

 

10 years ago

GPL

WATEJA WA AIRTEL KUJISHINDIA MAMILIONI YA PESA

Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (kulia), akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa promosheni mpya ya Airtel 'Jiongeze na Mshiko' itakayomuwezesha mteja wa mtandao huo kujishindia mamilioni ya pesa kwa njia ya SMS. Katikati ni Meneja wa Huduma za Ziada wa Airtel, Prisca Tembo na ofisa Huduma za Ziada, Fabian Felician. Meneja wa Huduma za Ziada wa Airtel, Prisca Tembo (katikati), akizungumza na...

 

9 years ago

GPL

WATEJA WA AIRTEL KUTUMA PESA BURE‏

Meneja Uhusiano wa Airtel , Jackson Mmbando akionge na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa ofa kwa wateja wake itakayowawezesha kutuma pesa kiasi chochote cha pesa kupitia huduma ya Airtel Money bure. Pichani ni Stephen Kimea Meneja kitengo cha Airtel Money (kushoto) na Aliesikia Peter Afisa kitengo cha Airtel Money. Meneja Uhusiano wa Airtel , Jackson Mmbando (katikati) pamoja na Meneja kitengo cha Airtel Money, Stephen...

 

10 years ago

GPL

WATEJA WA AIRTEL KUSHINDA GARI MOJA KILA SIKU‏

Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania, Levi Nyakundi (kushoto) na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampuni hiyo, Beatrice Singano Mallya (kulia) wakionyesha kipeperushi wakati wakizindua rasmi  promosheni ya 'Airtel Yatosha Zaidi' ambapo wateja watakaojiunga na bando la yatosha watapata nafasi ya kushinda kila siku gari  moja aina ya Toyota IST. Uzinduzi wa promosheni hiyo ulifanyika jijini Dar...

 

10 years ago

GPL

WATEJA WA AIRTEL MONEY KUTUMA PESA BURE KWA MSIMU HUU WA SIKU KUU‏

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano Mallya. Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kwa mara nyingi tena imewazawadia wateja wake wakatia wa msimu huu wa sikukuu na  OFA maalum itakayowawezesha  kutuma pesa bila kikomo BURE kupitia Huduma ya Airtel Money. Akiongea wakati wa uzinduzi wa promosheni hiyo Mkurugenzi wa Mawasiliano Bi Beatrice Singano Mallya alisema” Tumeona ni vyema kuwazawadia wateja...

 

5 years ago

Michuzi

Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda

Tigo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa ubunifu wa Kidigitali nchini, leo imezindua huduma inayowawezesha watumiaji wote wa Tigo Pesa nchini Tanzania kuweza kutuma na kupokea pesa kupitia simu zao za mkononi kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN za nchini Rwanda.
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...

 

9 years ago

GPL

AIRTEL YATOA GAWIO LA TSHS BILIONI 5.3 KWA WATEJA WA AIRTEL MONEY‏

Meneja biashara wa kitengo cha Airtel Money, Bwn Asupya Naligingwa (kushoto) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza Airtel kugawa gawio la faida la zaidi ya shilingi billion 5 kwa wateja na mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima. Pichani ni Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Bi Jane Matinde. Dar es Salaam, Jumatano 30 Septemba 2015, Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imetangaza...

 

9 years ago

GPL

WATEJA WA AIRTEL KUTUMA PESA BURE

Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa ofa kwa wateja wake itakayowawezesha kutuma pesa kiasi chochote cha pesa kupitia huduma ya Airtel Money bure. Pichani ni Stephen Kimea Meneja kitengo cha Airtel Money (kushoto) na Aliesikia Peter Afisa kitengo cha Airtel Money. Meneja Uhusiano wa Airtel , Jackson Mmbando (katikati) pamoja na Meneja kitengo cha Airtel...

 

9 years ago

GPL

WATEJA WA AIRTEL WAZIDI KUSHIDA MAMILIONI YA PESA

Ofisa Uhusiano na Matukio wa Airtel Tanzania, Dangio Kaniki (kushoto) akimkabidhi mshindi wa droo ya sita ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”, Rajabu Mwalapinga (kulia), mkazi wa Dar es Salaam, shillingi millioni tatu.  Ofisa uhusiano na matukio, Bi Dangio Kaniki akiongea na mshindi aliyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya saba ya wiki ya promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel kutoka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani