Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AIRTEL YATOA GAWIO LA TSHS BILIONI 5.3 KWA WATEJA WA AIRTEL MONEY‏

Meneja biashara wa kitengo cha Airtel Money, Bwn Asupya Naligingwa (kushoto) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza Airtel kugawa gawio la faida la zaidi ya shilingi billion 5 kwa wateja na mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima. Pichani ni Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Bi Jane Matinde. Dar es Salaam, Jumatano 30 Septemba 2015, Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imetangaza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

AIRTEL YATOA GAWIO LA TSHS BILIONI 5.3 KWA WATEJA WA AIRTEL MONEY


Meneja biashara wa kitengo cha  Airtel Money,  Bwn Asupya Naligingwa(kushoto) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza Airtelkugawa gawio la faida la zaidi ya  shilingi billion 5 kwa wateja namawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima.  Pichanini Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Bi Jane Matinde
KAMPUNI ya simu za mkononiya Airtel leo imetangaza kugawa zaidi ya shilingi bilioni 5 kwa watejana mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima
Uamuzi huo wa...

 

5 years ago

Michuzi

Airtel yatoa Tzs 2.6 bilioni kama faida kwa wateja wa Airtel Money

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel,leo imetangaza kugawa faida ya jumla ya Tsh2.6 bilioni kwa wateja na mawakala wake wote wanaotumia huduma ya Airtel Money kwa kipindi cha kati ya April na Septemba 2019.

Faida itokanayo na Airtel Money ni fedha ambayo Airtel imekuwa ikizirudisha kwa wateja wake waliotumia Airtel Money kwa kila robo ya mwaka kulingana na kiwango ambacho kipo kwenye akaunti zao za Airtel Money kila siku. Kiwango hicho cha faida kwa kila salio la mteja kinatolewa pia...

 

9 years ago

GPL

AIRTEL YATOA MIKOPO KWA MAWAKALA WA AIRTEL MONEY‏

Afisa Mkuu wa Biashara wa Airtel Tanzania, Arindam Chakrabarty (kushoto), Kamishna Msaidizi wa Wizara ya Fedha, Ridhiwan Masudi (kulia) na Mkurugenzi wa Afb Tanzania, Wayne Stocks wakionyesha bango kama ishara ya uzinduzi wa huduma mpya ya mikopo kwa mawakala wa Airtel Money ijulikanayo kama ‘Timiza Mikopo kwa Wakala’, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice...

 

9 years ago

Michuzi

AIRTEL YATOA MIKOPO KWA MAWAKALA WA AIRTEL MONEY

 Afisa Mkuu wa Biashara wa Airtel Tanzania, Arindam Chakrabarty(kushoto), Kamishna Msaidizi wa Wizara ya Fedha, Ridhiwan Masudi(kulia) na Mkurugenzi wa Afb Tanzania, Wayne Stocks  wakionyesha bangokama ishara ya uzinduzi wa huduma mpya ya mikopo kwa mawakala waAirtel Money ijulikanayo kama ‘Timiza Mikopo kwa Wakala’, katika haflailiyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallyaakizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya mikopo kwa...

 

10 years ago

GPL

WATEJA WA AIRTEL MONEY KUTUMA PESA BURE KWA MSIMU HUU WA SIKU KUU‏

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano Mallya. Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kwa mara nyingi tena imewazawadia wateja wake wakatia wa msimu huu wa sikukuu na  OFA maalum itakayowawezesha  kutuma pesa bila kikomo BURE kupitia Huduma ya Airtel Money. Akiongea wakati wa uzinduzi wa promosheni hiyo Mkurugenzi wa Mawasiliano Bi Beatrice Singano Mallya alisema” Tumeona ni vyema kuwazawadia wateja...

 

9 years ago

Michuzi

Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imezindua application itakayowawezesha wateja wake kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi na kupitia application ijulikanayo kama "Airtel care App"  Application hii mpya ya "Airtel care App" ni moja kati ya huduma nyingi za kibunifu zinazotelewa na Airtel zenye lengo la kuwawezesha wateja wa Airtel kutatua matatizo yao na mahitaji yao kwa urahisi wakati wowote Akizungumza Wakati wa uzinduzi wa "Airtel care App" Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw Jackson...

 

11 years ago

Michuzi

Wateja wa Airtel kulipa mikopo ya masomo kupitia huduma ya Airtel Money

Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu Bwana Juma Chagonja akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma itakayowawezesha wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini kurejesha mikopo yao kupitia huduma ya Airtel Money, kushoto ni Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde. Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma itakayowawezesha wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini kurejesha mikopo yao kupitia huduma ya Airtel Money kulia pichani ni Mkurugenzi wa...

 

11 years ago

GPL

WATEJA WA AIRTEL KULIPA MIKOPO YA MASOMO KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY

Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu Bwana Juma Chagonja akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma itakayowawezesha wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini kurejesha mikopo yao kupitia huduma ya Airtel Money, kushoto ni Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde. Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma itakayowawezesha wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini kurejesha mikopo yao...

 

11 years ago

Michuzi

Wateja wa Airtel kununua Tiketi za Ndege za Precicsion Air kupitia huduma ya Airtel Money

Meneja Uendeshaji wa pitiaAirtel Money Asupya Naligingwa (kushoto) akiongea wakati wa uzinduzii wa ushirikiano kati ya Airtel na Precision Air utakaowawezesha wateja wa Airtel kulipia tiketi za ndege kupitita huduma ya Airtel Money. akishuhudia ni Afisa uhusiano wa Airtel bi Jane Matinde na na Afisa masoko wa Precision Air Hillary Mremi Meneja Uendeshaji wa pitiaAirtel Money Asupya Naligingwa (kushoto) na Afisa masoko wa Precision Air Hillary Mremi (kulia) kwa pamoja wakizindua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani