MAUAJI YA MTEJA WA GARI. Ndugu wasimulia
Ndugu na majirani pamoja na watu waliohudhuria mazishi wakiwa katika Ibada kabla ya kwenda makaburini , Malamba mawili jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya mazishi.
Mapya yameibuka katika mauaji ya Farahan Maluli (30), anayedaiwa kuuawa na rafiki yake ambaye ni mtoto wa bosi wake baada ya ndugu wa marehemu kuzungumzia jinsi marehemu alivyokuwa akitoa fedha kwa mtuhumiwa wa mauaji hayo.
Ndugu wa marehemu walifichua siri hiyo wakati wakizungumza na NIPASHE kwenye mazishi ya kijana huyo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qB*eEYpVu7Oo0Oxyvaq9yVMM01ypjzDiA6gKOtHGd13D92qWGt1zQ2Oqmw56cOACeyrxkN-QEsTjH8kSBw5XLXcynYZDcOfK/BACKUWAZI.jpg?width=650)
MKE ASIMULIA MAPYA SAKATA LA MAUAJI YA MTEJA WA GARI
10 years ago
StarTV03 Feb
Airtel yazindua promoseni mteja kujishindia gari.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam.
Kampuni ya simu za Mkononi ya Airtel imezindua promosheni ya Airtel Yatosha zaidi ambapo wateja wanaotumia vifurushi vya Airtel yatosha watapata fursa kujishindia gari aina ya IST lenye thamani ya Shilingi milioni 15.
Promosheni hiyo ambayo itafanyika katika kipindi cha miezi miwili imelenga kutoa zawadi ya gari moja kila siku kwa wateja wake waliojiunga na kifurushi cha siku, wiki na mwezi.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya Airtel Beatrice...
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Mteja kakasirishwa na bili hotelini, akaamua kuingiza gari mpaka meza ya mapokezi ndani (+Video)
Hasira hasara… hasira ya huyu jamaa ilianzia kwenye mzigo wa bili ya huduma aliyosogezewa baada ya kuhudumiwa katika hoteli moja Marekani, akaona poa hamna namna, maamuzi yake ikawa ni kutoka nje ya mgahawa na kuingia ndani gari yake kwa hasira. Ishu nzima ilinaswa na camera ya CCTV, Oklahoma Marekani, mzee aliyefanya tukio hilo ni John Parsley ambaye […]
The post Mteja kakasirishwa na bili hotelini, akaamua kuingiza gari mpaka meza ya mapokezi ndani (+Video) appeared first on...
10 years ago
MichuziMteja wa Benki ya NBC Tawi Bukoba akabidhiwa zawadi kubwa ya gari la Promosheni ya Weka Upewe
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/iL6u1bLBots/default.jpg)
10 years ago
Michuzi11 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3GnsQAvS8Fc/VVyJ0rvk1SI/AAAAAAAHYiA/u3Eo6_MrYQI/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) yatoa gari kwa jeshi la magereza arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-3GnsQAvS8Fc/VVyJ0rvk1SI/AAAAAAAHYiA/u3Eo6_MrYQI/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s_KR-9BAeIY/VQFY320X3zI/AAAAAAABdDE/31hVuNUncTA/s72-c/Tita%2B1.jpg)
NDUGU NSAJIGWA KENNEDY MWANG'ONDA ANATAFUTWA NA NDUGU ZAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-s_KR-9BAeIY/VQFY320X3zI/AAAAAAABdDE/31hVuNUncTA/s1600/Tita%2B1.jpg)