Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kodi kubwa za simu zinaongeza gharama

WAKATI bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2014/15 ikitarajiwa kuwasililishwa bungeni   kesho, masikio ya Watanzania wengi yameelekezwa huko yakitaka kusikia kama italeta ahueni au itaongeza gharama za maisha. Katika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Gharama kubwa alikozikwa Ballali

Eneo alilozikwa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Daudi Ballali katika makaburi ya Gate of Heaven, Maryland nchini Marekani liliigharimu familia yake kiasi cha Dola 4,810 za Kimarekani (sawa na zaidi ya Sh8 milioni).

 

10 years ago

BBCSwahili

Gharama ya kupiga simu kupunguzwa

Watuamiaji wa simu za mkononi nchini Kenya,Rwanda na Uganda hivi karibuni watakuwa wakipiga simu kwa bei nafuu.

 

10 years ago

Mwananchi

Gharama za simu mjadala mzito

Wakati Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeziagiza kampuni za simu kutoa maelezo kuhusu mabadiliko ya gharama za vifurushi vya muda wa maongezi, Vodacom Tanzania imeeleza kuwa mabadiliko hayo yanatokana na ongezeko la kodi na hivyo kulazimika “kubadili mazingira ya kibiashara ili kuepuka hasara”.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mwananchi

GHARAMA: ‘Tozo za huduma za simu hazizuiliki’

>Wakati Watanzania wakizidi ‘kutoboa’ mifuko yao kununua vifurushi vya kupiga simu na kutuma ujumbe wa mfupi, baada ya mabadiliko ya viwango vya huduma hizo, Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo imesema mabadiliko hayo hayazuiliki kutokana na changamoto za uwekezaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Gharama kubwa kutibu magonjwa yasiyoambukiza ni tiketi ya kifo

>Kuishi ni jambo moja. Kuishi maisha yenye afya njema ni kitu kingine.

 

9 years ago

Bongo5

Machangudoa wa Zimbabwe wakusanya mbegu za kiume na kuziuza kwa gharama kubwa

Prostitute+sex+worker

Wanaume wasio waaminifu walionywa mwaka jana nchini Zimbabwe kutoka miji ya Gwanda na Beitbridge iliyopo mpakani mwa Zimbabwe na Afrika ya Kusini.

Prostitute+sex+worker

Machangudoa kutoka miji hiyo hukusanya mbegu za kiume na kwenda kuziuza nchini Afrika ya Kusini. Inasadikika kuwa mbegu hizo zinakwenda kwa waganga wa kienyeji maarufu kama sangoma ili kutumika kwa mambo ya kishirikina.

Wengine wakihisi kwamba wanawake hao huuza mbegu hizo kati ya dola 25 hadi 30 kwa chupa ya milimeta 250 yaani robo lita....

 

11 years ago

Mwananchi

AFRIKA MASHARIKI: Wateja wa simu za mkononi EAC kupungizwa gharama

>Wateja wa mawasiliano ya simu katika nchi za Uganda, Kenya, Rwanda na Sudan Kusini wanatarajia kufurahia viwango vya ada sawa za mawasiliano chini ya mpango mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaojulikana kama  “One network Area”

 

11 years ago

Habarileo

Tigo kurejesha gharama za laini za simu kwa wateja wake

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo imezindua utaratibu wa kurudishia wateja wake gharama zote za ununuzi wa laini za simu kwa kuwapa muda wa maongezi na salio katika akaunti za Tigo pesa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani