Gharama kubwa alikozikwa Ballali
Eneo alilozikwa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Daudi Ballali katika makaburi ya Gate of Heaven, Maryland nchini Marekani liliigharimu familia yake kiasi cha Dola 4,810 za Kimarekani (sawa na zaidi ya Sh8 milioni).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Kodi kubwa za simu zinaongeza gharama
WAKATI bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2014/15 ikitarajiwa kuwasililishwa bungeni kesho, masikio ya Watanzania wengi yameelekezwa huko yakitaka kusikia kama italeta ahueni au itaongeza gharama za maisha. Katika...
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Gharama kubwa kutibu magonjwa yasiyoambukiza ni tiketi ya kifo
9 years ago
Bongo510 Nov
Machangudoa wa Zimbabwe wakusanya mbegu za kiume na kuziuza kwa gharama kubwa
![Prostitute+sex+worker](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Prostitute-sex-worker-300x194.jpg)
Wanaume wasio waaminifu walionywa mwaka jana nchini Zimbabwe kutoka miji ya Gwanda na Beitbridge iliyopo mpakani mwa Zimbabwe na Afrika ya Kusini.
Machangudoa kutoka miji hiyo hukusanya mbegu za kiume na kwenda kuziuza nchini Afrika ya Kusini. Inasadikika kuwa mbegu hizo zinakwenda kwa waganga wa kienyeji maarufu kama sangoma ili kutumika kwa mambo ya kishirikina.
Wengine wakihisi kwamba wanawake hao huuza mbegu hizo kati ya dola 25 hadi 30 kwa chupa ya milimeta 250 yaani robo lita....
9 years ago
Bongo514 Sep
Tatizo la gharama kubwa za kufanya video linatokana na uwepo wa kampuni moja tu ya kukodisha vifaa — Hanscana
9 years ago
Bongo503 Dec
Msechu: Nina nyimbo 17 nilizorekodi kwa gharama kubwa lakini siwezi kuzitoa, ijue sababu
![Msechu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Msechu-300x194.jpg)
Peter Msechu amekiri kuwa nyimbo zake za mwanzo hazikufanya vizuri kwasababu zilikuwa zikokiufundi sana, lakini ‘Nyota’ ndio ilikuja kumpa majibu kwamba mashabiki wa Tanzania wanataka nyimbo nyepesi zinazoweza kukaririka kirahisi.
Msechu ameyasema hayo alipozungumza na Planet Bongo ya East Africa Radio wiki hii.
“Kimuziki bado jamii yetu haijaelewa muziki wa professional…raia wa kibongo wanataka akiwa anapiga deki mmama akisikia chorus aimbe huku anapiga deki, lakini sio aanze kuhangaika...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-f9ajbkZgF_g/Uq9PJnA9ZvI/AAAAAAAFBzM/PmUFmgyNymM/s640/q1.jpg)
TASWIRA ZA KIJIJI CHA QUNU ALIKOZIKWA MZEE NELSO MANDELA JUMAPILI DESEMBA 15, 2013
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Flg-lHiuL4cVb3Ql5puIftfaAoY0m8uK9NwXpHCQiDyv4A58nJj2C4F73gm34OkS70VuJb7Ya-JL2fEfabfNnQY8HvCEzo58/FRONTIJUMAA.jpg?width=650)
KABURI LA BALLALI KUFUKULIWA
11 years ago
Mwananchi![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2381304/medRes/785514/-/maxh/240/maxw/460/-/12s935mz/-/balali.jpg)
KIFO: Mwisho wa Ballali
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Nini kilimuua Gavana Ballali?