Nini kilimuua Gavana Ballali?
Wakati kukiwa na uthibitisho kwamba Gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi Ballali alifariki dunia na kuzikwa miaka sita iliyopita, kitendawili kilichobaki ni sababu za ugonjwa na baadaye kifo chake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2381304/medRes/785514/-/maxh/240/maxw/460/-/12s935mz/-/balali.jpg)
KIFO: Mwisho wa Ballali
>Mkazi wa Kijiji la Luganga, Wilaya ya Mufindi, Iringa, alikozaliwa Gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi Ballali analazimika kutumia saa 32 kufika katika kaburi la kiongozi huyo lililopo eneo la Silver Spring, Maryland nchini Marekani.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Flg-lHiuL4cVb3Ql5puIftfaAoY0m8uK9NwXpHCQiDyv4A58nJj2C4F73gm34OkS70VuJb7Ya-JL2fEfabfNnQY8HvCEzo58/FRONTIJUMAA.jpg?width=650)
KABURI LA BALLALI KUFUKULIWA
HII mpya! Kuna madai kwamba, kaburi la aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), marehemu Daudi Timoth Ballali lililopo Makaburi ya Gate of Haeven (Geti la Mbinguni) Eneo Na. 6, Ploti Na. 241, Safu Na. 17 huko Maryland nchini Marekani lipo mbioni kufukuliwa ili kuwezesha vipimo vya vinasaba (DNA) kutumika kwa lengo la kubaini ukweli wa kifo chake, Ijumaa limeelezwa. Aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT),...
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Gharama kubwa alikozikwa Ballali
Eneo alilozikwa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Daudi Ballali katika makaburi ya Gate of Heaven, Maryland nchini Marekani liliigharimu familia yake kiasi cha Dola 4,810 za Kimarekani (sawa na zaidi ya Sh8 milioni).
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Marekani inathibitisha kifo cha Ballali
Taarifa za Idara za Serikali ya Marekani zinathibitisha kwamba aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi Ballali alifariki dunia akiwa Washington DC, akiwa na umri wa miaka 66.
11 years ago
Mwananchi16 Jul
‘Tunaumizwa na madai kwamba Ballali yupo hai’
Baadhi ya wanafamilia wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi Ballali wamesema taarifa zilizozagaa kwamba ndugu yao huyo yupo hai hadi sasa, zinawaumiza na kuwakumbusha uchungu walioupata wakati wa kifo chake.
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Kauli ya mwisho ya Ballali kabla ya kifo chake
Gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania BOT), Marehemu Daudi Ballali aliacha wasia unaotaka maiti yake isionyeshwe hadharani atakapofariki dunia na wala maiti yake isiletwe Tanzania kwa ajili ya maziko.
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Ballali hakuwa mgonjwa wakati akienda Marekani
Gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania, Marehemu Daudi Ballali hakuwa mgonjwa wakati akiondoka kwenda Marekani.
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Gavana wa Lamu Kenya amekamatwa
Serikali ya Kenya imekamata gavana wa jimbo lililokumbwa na mapigano yaliyosababisha vifo vya watu 65
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Gavana Ndulu akumbwa na kashfa
ALIYEKUWA mfanyakazi wa ndani wa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Benno Ndulu, amedai kutolipwa haki zake na mwajiri wake huyo baada ya kukatisha mkataba wa kazi nchini Marekani. Pia...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania