Marekani inathibitisha kifo cha Ballali
Taarifa za Idara za Serikali ya Marekani zinathibitisha kwamba aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi Ballali alifariki dunia akiwa Washington DC, akiwa na umri wa miaka 66.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani
Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi
11 years ago
Mwananchi![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2381304/medRes/785514/-/maxh/240/maxw/460/-/12s935mz/-/balali.jpg)
KIFO: Mwisho wa Ballali
>Mkazi wa Kijiji la Luganga, Wilaya ya Mufindi, Iringa, alikozaliwa Gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi Ballali analazimika kutumia saa 32 kufika katika kaburi la kiongozi huyo lililopo eneo la Silver Spring, Maryland nchini Marekani.
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
George Floyd: Sababu 4 zilizofanya kifo cha M'marekani mweusi kusababisha maandamano makubwa Marekani
Wakati Donald Trump alipotoa onyo lake , pengine hakufikiria kwamba atalazimika kuishi na hali ngumu kama inayoendeelea nchini Marekani.
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Kauli ya mwisho ya Ballali kabla ya kifo chake
Gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania BOT), Marehemu Daudi Ballali aliacha wasia unaotaka maiti yake isionyeshwe hadharani atakapofariki dunia na wala maiti yake isiletwe Tanzania kwa ajili ya maziko.
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Ballali hakuwa mgonjwa wakati akienda Marekani
Gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania, Marehemu Daudi Ballali hakuwa mgonjwa wakati akiondoka kwenda Marekani.
5 years ago
BBCSwahili01 Mar
Coronavirus: Kifo cha kwanza chathibitishwa Marekani jimbo la Washington
Rais Donald Trump amesema visa vingine vinatarajiwa lakini hakuna haja ya kuwa na wasiwasi
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3RJKVvYUGXY/VgxcM47towI/AAAAAAAD_J4/nCb1SG3-leE/s72-c/b4a6297d3516cc010eda1174237cbdd5.jpg)
TANZIA: Taarifa ya kifo cha mama Betisheba Ketangenyi, Maryland, Marekani
![Bettisheba Pole Ketang'enyi Bettisheba Pole Ketang'enyi](http://4.bp.blogspot.com/-3RJKVvYUGXY/VgxcM47towI/AAAAAAAD_J4/nCb1SG3-leE/s640/b4a6297d3516cc010eda1174237cbdd5.jpg)
Mipango ya kusafiri mwili wa marehemu inaendelea kwa mdogo wa marehemu Daudi Musika wa 3819 Gateway terrace Burtonsville MD 20866.
Unaweza kuwasiliana na:
Frederick...
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Kifo cha George Floyd: Maelfu wajitokeza Marekani kushiriki mandamano usiku kucha
Maandamano juu ya kifo cha raia mweusi wa Marekani George Floyd bado yanaendelea kwa usiku wa nane mfululizo
5 years ago
CCM Blog30 May
KIFO CHA MWAFRIKA GEORGE FLOYD: MAANDAMANO YATANDA KOTE MAREKANI KUDAI HAKI
![](https://ichef.bbci.co.uk/images/ic/720x405/p08fl9sx.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania