Ballali hakuwa mgonjwa wakati akienda Marekani
Gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania, Marehemu Daudi Ballali hakuwa mgonjwa wakati akiondoka kwenda Marekani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Mgonjwa wa Moshi hakuwa na ebola-Wizara
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Marekani inathibitisha kifo cha Ballali
9 years ago
Bongo502 Nov
Cassim adai Babu Tale hakuwa ‘kiongozi’ wakati yupo Tip Top
![12063201_825333404252455_334874297_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/12063201_825333404252455_334874297_n-94x94.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YB13EO7o7ug/VYGQSC-81nI/AAAAAAAAv2w/ozIl4BQTOI4/s72-c/LOWASSA%2BIKULU.jpg)
Kauli ya LOWASSA Yaleta Gumzo 'Maskini Akienda IKULU Ataiba si Ndio? Tajiri Akienda Ikulu Atawapa watu Mbinu za Utajiri'
![](http://2.bp.blogspot.com/-YB13EO7o7ug/VYGQSC-81nI/AAAAAAAAv2w/ozIl4BQTOI4/s640/LOWASSA%2BIKULU.jpg)
Kweli au si kweli? Maskini akienda IKULU ataiba si ndio? Tajiri akienda Ikulu atawapa watu mbinu za utajiri....ama, maskini akienda ataongoza kwa kuelewa matatizo ya wananchi wake na kuwapa kipaumbele...na tajiri yeye hatajali kundi la maskini wanahitaji nini maana hajui umaskini unafananaje?? Vyovyote vile!! Bado tunasikiliza na kupima sera za wagombea wote...
10 years ago
StarTV24 Oct
Mgonjwa wa Ebola agundulika Marekani.
Daktari wa Marekani aliyekuwa akiwahudumia wagonjwa wa Ebola Nchini Guinea amepimwa na kukutwa na virusi vya ugonjwa huko katika hospitali ya ya mjini Newyork.
Dr Craig Spencer ambaye ni mmoja kati ya madaktari wasio na mipaka alianza kujisikia maumivu na homa siku chache tu baada ya kurejea Marekani akitokea Afrika Magharibi.
Siku ya Alhamisi wiki hii Craig alipelekwa hospitali kwaajili ya vipimo na kisha akatengwa kwa uchunguzi zaidi wa afya yake.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari...
10 years ago
Vijimambo09 Oct
MGONJWA WA EBOLA MAREKANI AFARIKI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/590/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/08/141008162619_mgonjwa_us_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Thomas Eric Duncan aliyeambukizwa ugonjwa wa Ebola huko nchini Liberia ,alikuwa amewekwa katika karantini katika hospitali moja ya mjini Dallas ili kupewa dawa za majaribio.
Awali ,Marekani ilitangaza masharti mapya ya usalama katika viingilio vyote vya taifa hilo ili kuwakagua wasafiri walio na dalili za ugonjwa huo.
Zaidi ya watu 3000 wamefariki na wengine...
10 years ago
StarTV01 Oct
Mgonjwa wa kwanza wa Ebola apatikana Marekani.
Mgonjwa wa kwanza wa ugonjwa hatari wa virusi vya Ebola amegundulika nchini Marekani, imethibitishwa katika mji wa Dallas, Texas.
Maafisa katika kituo cha afya cha Texas katika hospitali ya Presbyterian wamesema mgonjwa ambaye hakutajwa ametengwa katika hospitali hiyo.
Mgonjwa huyo anasemekana kuwa ni mtu anayeaminika kuambukizwa ugonjwa huo nchini Liberia kabla ya kuonyesha dalili za ugonjwa huo.
Zaidi ya watu 3,000 tayari wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola huko Afrika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc5RO-aDWgK5W9gFoZS1xwSAnlmdkz1ACwKgCS9Ktz66SOkr6gLFsgh1DpW8K4d84DZdX7vY*S3D*cHKDq3DbHB4/1.jpg?width=644)
POLISI WAUA MGONJWA WA AKILI DALLAS, MAREKANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-vjwRQQWQztdxQDViR2ZqO9FErm8iZ0oqW33kn-MzAnhb5XDzIn1Y*zJGGCLWO4lk9w4Le9EbIZk45ovFYd-iCR/dancun.jpg)
MSTUKO: MGONJWA WA KWANZA WA EBOLA AFARI NCHINI MAREKANI!