Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgonjwa wa kwanza wa Ebola apatikana Marekani.

Mgonjwa wa kwanza wa ugonjwa hatari wa virusi vya Ebola amegundulika nchini Marekani, imethibitishwa katika mji wa Dallas, Texas.

 
Maafisa katika kituo cha afya cha Texas katika hospitali ya Presbyterian wamesema mgonjwa ambaye hakutajwa ametengwa katika hospitali hiyo.

 
Mgonjwa huyo anasemekana kuwa ni mtu anayeaminika kuambukizwa ugonjwa huo nchini Liberia kabla ya kuonyesha dalili za ugonjwa huo.

 
Zaidi ya watu 3,000 tayari wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola huko Afrika...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSTUKO: MGONJWA WA KWANZA WA EBOLA AFARI NCHINI MAREKANI!

Eric Thomas Dancun Mgonjwa wa kwanza wa ugonjwa hatari wa Ebola nchini Mrekani, Eric Thomas Dancun (42), amefariki dunia jioni hii (saa 1:51 kwa Marekani). Dancun alitokea nchini Liberia na kuingia Marekani mwezi uliopita ambako alikwenda kumtembelea ndugu yake, taarifa iliyotolewa na Texas Health Presbyterian Hospital, ambako mgonjwa huyo alikuwa amelazwa, imesema. Dancun anakuwa mgonjwa wa kwanza kufariki dunia nchini...

 

10 years ago

StarTV

Mwingine apatikana na Ebola Marekani.

Mfanyikazi mwengine wa kituo cha afya aliyemtibu Thomas Dancun kabla ya kifo chake katika jimbo la Texas nchini Marekani amepatikana na virusi vya ugonjwa wa Ebola.

 
”Tulijua kuna uwezekano wa kisa cha pili kuripotiwa ,na tumejitayarisha kwa uwezekano huo”alisema Daktari David Lakey ambaye ni kamishna wa idara ya afya katika jimbo la Texas.

 
Marehemu Dancun ambaye aliambukizwa ugonjwa huo nchini Liberia ,alifariki katika hospitali ya Dallas siku ya jumatano.

 
Hatahivyo jina la muhudumu...

 

10 years ago

BBCSwahili

USA:Mgonjwa wa kwanza wa Ebola afariki

Mtu wa kwanza kupatikana na ugonjwa wa Ebola nchini Marekani amefariki ,kulingana na maafisa wa hospitali ya Texas

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtu mwengine apatikana na Ebola Marekani

Mfanyikazi mwengine wa kituo cha afya aliyemtibu Thomas Dancun kabla ya kifo chake amepatikana na virusi vyaugonjwa wa ebola

 

10 years ago

StarTV

Mgonjwa wa Ebola agundulika Marekani.

Daktari wa Marekani aliyekuwa akiwahudumia wagonjwa wa Ebola Nchini Guinea amepimwa na kukutwa na virusi vya ugonjwa huko katika hospitali ya ya mjini Newyork.
Dr Craig Spencer ambaye ni mmoja kati ya madaktari wasio na mipaka alianza kujisikia maumivu na homa siku chache tu baada ya kurejea Marekani akitokea Afrika Magharibi.
Siku ya Alhamisi wiki hii Craig alipelekwa hospitali kwaajili ya vipimo na kisha akatengwa kwa uchunguzi zaidi wa afya yake.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari...

 

10 years ago

Vijimambo

MGONJWA WA EBOLA MAREKANI AFARIKI

Mtu wa kwanza kupatikana na ugonjwa wa Ebola nchini Marekani amefariki ,hayo ni kwa mujibu wa maafisa wa afya katika hospitali ya Texas.

Thomas Eric Duncan aliyeambukizwa ugonjwa wa Ebola huko nchini Liberia ,alikuwa amewekwa katika karantini katika hospitali moja ya mjini Dallas ili kupewa dawa za majaribio.

Awali ,Marekani ilitangaza masharti mapya ya usalama katika viingilio vyote vya taifa hilo ili kuwakagua wasafiri walio na dalili za ugonjwa huo.

Zaidi ya watu 3000 wamefariki na wengine...

 

10 years ago

BBCSwahili

Liberia kumshitaki mgonjwa wa Ebola

Maafisa wa utwaala nchini Liberia, wanasema kuwa watamshitaki mwanamume aliyepatikana na ugonjwa wa Ebola nchini Marekani wakimtuhumu kuwa alitoa taarifa za uongo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mgonjwa wa Ebola agundulika Newyork

Daktari wa Marekani aliyekuwa akiwahudumia wagonjwa wa Ebola Nchini Guinea amepimwa na kukutwa na virusi vya Ebola.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mgonjwa wa ebola azua taharuki


NA RODRICK MAKUNDI NA WILLIUM PAUL, MOSHI.
WANANCHI wa Kata ya Shirimatunda katika Manispaa ya Moshi,  Kilimanjaro, wamepatwa na taharuki kutokana na taarifa za kuwepo  mgonjwa anayedhaniwa kuwa na ebola.
Mgonjwa huyo, ambaye amelazwa katika zahanati iliyoko kwenye kata hiyo, amesababisha huduma kusitishwa na zahanati kufungwa kwa muda huku wagonjwa waliokuwa wakipatiwa matibabu wakihamishiwa katika Ofisi ya Mtendaji wa Kata.
Habari zaidi zimeeleza kuwa mgonjwa huyo, aliwasili katika Uwanja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani