Mwingine apatikana na Ebola Marekani.
Mfanyikazi mwengine wa kituo cha afya aliyemtibu Thomas Dancun kabla ya kifo chake katika jimbo la Texas nchini Marekani amepatikana na virusi vya ugonjwa wa Ebola.
”Tulijua kuna uwezekano wa kisa cha pili kuripotiwa ,na tumejitayarisha kwa uwezekano huo”alisema Daktari David Lakey ambaye ni kamishna wa idara ya afya katika jimbo la Texas.
Marehemu Dancun ambaye aliambukizwa ugonjwa huo nchini Liberia ,alifariki katika hospitali ya Dallas siku ya jumatano.
Hatahivyo jina la muhudumu...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV01 Oct
Mgonjwa wa kwanza wa Ebola apatikana Marekani.
Mgonjwa wa kwanza wa ugonjwa hatari wa virusi vya Ebola amegundulika nchini Marekani, imethibitishwa katika mji wa Dallas, Texas.
Maafisa katika kituo cha afya cha Texas katika hospitali ya Presbyterian wamesema mgonjwa ambaye hakutajwa ametengwa katika hospitali hiyo.
Mgonjwa huyo anasemekana kuwa ni mtu anayeaminika kuambukizwa ugonjwa huo nchini Liberia kabla ya kuonyesha dalili za ugonjwa huo.
Zaidi ya watu 3,000 tayari wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola huko Afrika...
10 years ago
BBCSwahili12 Oct
Mtu mwengine apatikana na Ebola Marekani
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Muuguzi mwingine ana Ebola Marekani
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Mgonjwa mwingine wa Ebola Ujerumani
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Kijana mwingine mweusi auawa Marekani
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Polisi mwingine aua mtu mweusi, Marekani
10 years ago
Habarileo02 Oct
Ebola waingia Marekani
MGONJWA wa kwanza wa virusi hatari vya ebola ambaye pia ni wa kwanza nje ya bara la Afrika, amegundulika nchini Marekani katika mji wa Dallas, Texas. Maofisa katika Kituo cha Afya cha Texas katika Hospitali ya Presbyterian wamesema mgonjwa huyo mwanamume ambaye hakutajwa jina lake, ametengwa katika hospitali hiyo.
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Ebola yatua Marekani
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Marekani kusaidia kupambana na Ebola