Muuguzi mwingine ana Ebola Marekani
Mhudumu mwingine wa afya mwenye umri wa miaka 26 nchini Marekani amepatikana na ugonjwa wa Ebola katika jimbo la Texas.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Ebola Marekani:Muuguzi apinga karantini
10 years ago
StarTV13 Oct
Mwingine apatikana na Ebola Marekani.
Mfanyikazi mwengine wa kituo cha afya aliyemtibu Thomas Dancun kabla ya kifo chake katika jimbo la Texas nchini Marekani amepatikana na virusi vya ugonjwa wa Ebola.
”Tulijua kuna uwezekano wa kisa cha pili kuripotiwa ,na tumejitayarisha kwa uwezekano huo”alisema Daktari David Lakey ambaye ni kamishna wa idara ya afya katika jimbo la Texas.
Marehemu Dancun ambaye aliambukizwa ugonjwa huo nchini Liberia ,alifariki katika hospitali ya Dallas siku ya jumatano.
Hatahivyo jina la muhudumu...
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Ebola:Muuguzi atishia kuvunja karantini
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Muuguzi apata nafuu maambukizo ya Ebola
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Ebola:Muuguzi Hispania alijigusa uso
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4lPsTwn7GEc/Vd6Ro6Rg3NI/AAAAAAAH0RU/vmF-Mq65uvM/s72-c/images.jpg)
MKE WANGU ANA MIMBA YA MWANAUME MWINGINE, JE SHERIA INASEMAJE ?
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Mgonjwa mwingine wa Ebola Ujerumani
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Kijana mwingine mweusi auawa Marekani
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Polisi mwingine aua mtu mweusi, Marekani