Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Muuguzi Hispania alijigusa uso

Daktari mjini Madrid Uhispania, anasema muuguzi aliyeambukizwa Ebola amesema kuwa aligusa uso wake baada ya kumtibu kasisi aliyefariki kutokana na ugonjwa huo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Muuguzi mwingine ana Ebola Marekani

Mhudumu mwingine wa afya mwenye umri wa miaka 26 nchini Marekani amepatikana na ugonjwa wa Ebola katika jimbo la Texas.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola Marekani:Muuguzi apinga karantini

Muuguzi wa Marekani, ambaye alikuwa akihudumia wagonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone, amepinga kuwekwa karantini

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola:Muuguzi atishia kuvunja karantini

Muuguzi aliyewekwa chini ya karantini alipotoka kuwatibu wagonjwa nchini Sierra Leone ametishia kutoka nyumbani kwake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Muuguzi apata nafuu maambukizo ya Ebola

Muuguzi kutoka Scotland aliyeugua virusi vya Ebola amepata nafuu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola:Hispania yafanya uchunguzi

Tume ya Ulaya umeitaka Hispania kueleza ambavyo muuguzi aliambukizwa Ebola mjini Madrid na kuwa mtu wa kwanza kuugua ugonjwa huo

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ebola; ni homa ya Hispania? (2)

KATIKA makala iliyopita tuliona nini maana ya ugonjwa wa Ebola, dalili zake na inavyoambukiza. Pia ugonjwa huo unavyoua haraka, kama ilivyokuwa kwa homa ya Hispania iliyojitokeza zaidi  ya miaka ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mgonjwa Ebola abainika Hispania

Uchunguzi unaendelea nchini Hispania ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Ebola baada ya mgonjwa wa kwanza kubainika.

 

11 years ago

GPL

PADRI WA HISPANIA AFARIKI KWA EBOLA

Padri Miguel enzi za uhai wake. PADRI raia wa Hispania, Miguel Pajares, 75, aliyeambukizwa virusi vya Ebola wakati akifanya kazi Afrika Magharibi amefariki dunia akiwa hospitalini mjini Madrid. Padri Miguel alikuwa anafanya kazi katika Hospitali ya Mtakatifu Joseph iliyopo mjini Monrovia, Liberia.
Alisafirishwa kwenda Hispania kutoka Liberia wiki iliyopita akiwa na mtawa mmoja ambaye naye aliponea chupuchupu kuambukizwa homa...

 

10 years ago

Vijimambo

Muwania kuteuliwa ubunge Tabora uso kwa uso na Mh Aden Rageh

Bandora Salum Mirambo akiwasilia katika ofisi za CCM wilaya ya Tabora kuchukua fomu za ubunge wa Tabora mjiniWagombea ubunge wa jimbo la Tabora mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Mh Aden Rageh na Bandora Mirambo leo
hii walikutana uso kwa uso walipofika ofisi za CCM wilaya kuchukua fomu za kuwania kuteuliwa na chama hicho kugombea ubunge wa wa Tabora mjini. Wote wawili katika kuonesha siasa si chuki wala ugomvi walilakiana na kusalimiana kwa uzuri kabisa.


Wawania kuteuliwa na CCM...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani