Muuguzi apata nafuu maambukizo ya Ebola
Muuguzi kutoka Scotland aliyeugua virusi vya Ebola amepata nafuu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Michael Olaitan apata nafuu
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Ebola:Muuguzi Hispania alijigusa uso
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Ebola Marekani:Muuguzi apinga karantini
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Ebola:Muuguzi atishia kuvunja karantini
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Muuguzi mwingine ana Ebola Marekani
9 years ago
StarTV02 Nov
Kocha wa Prisons Apata nafuu na kuruhusiwa utoka Hospitali.
Aliekua kocha Mkuu wa Tanzania Prisons David Mwamaja ameruhusiwa kutoka Hospital ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa kwa siku kumi kutokana na kusumbuliwa na ugongwa wa kichwa baada damu kuvilia katika ubongo.
Mwamaja alianza kuugua ugonjwa huo wiki mbili zilizopita baada ya kuanguka akiwa katika majukumu ya kuinoa timu ya Mji Njombe inayoshiriki ligi daraja la kwanza.
Akizungumza kwa taabu kocha Mwamaja anaeleza kuwa alianguka katika korongo na kupoteza fahamu na baada ya kuzinduka akaanza...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-umZ0N6gTKns/XpshtzY8_9I/AAAAAAAAnWA/D-xXYSAnI_83eiHLKUlk6Rvswbpjlw4EgCLcBGAsYHQ/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
IDADI YA MAAMBUKIZO CORONA NCHINI MREKANI YAFIKIA LAKI SABA
![](https://1.bp.blogspot.com/-umZ0N6gTKns/XpshtzY8_9I/AAAAAAAAnWA/D-xXYSAnI_83eiHLKUlk6Rvswbpjlw4EgCLcBGAsYHQ/s400/1%2B%25281%2529.jpg)
Idadi ya watu waliombukizwa virusi vya Corona nchini Marekani imepindukia laki saba huku idadi ya wanaoaga dunia kwa ugonjwa wa Covid-19 ikiongezeka kwa kasi nchini humo.
Takwimu za hivi punde zinaonyesha kuwa, watu 710,272 wameambukizwa virusi vya Corona nchini Marekani huku 37,175 wakiaga dunia na kuifanya nchi hiyo kuwa ndio iliyoathiriwa zaidi na virusi hivyo duniani.
Italia inashika nafasi ya pili kwa idadi kubwa ya watu walioaga dunia kwa virusi vya Corona ambapo hadi sasa watu 22,745...
10 years ago
CloudsFM27 Nov
DIAMOND APATA SHAVU ‘SAUZ’LA KUGAWA TUZO ZA CHANNEL O, NA KUSHIRIKI KWENYE KAMPENI YA EBOLA
Wiki iliyopita staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz aliachia ngoma yake mpya ‘’Nitampata Wapi’’ ‘audio’ na ‘video’, na mapokeo yake kwa mashabiki kuwa makubwa sana kwani mpaka leo kwenye mtandao wa ‘You Tube’ video hiyo imetazamwa zaidi ya mara 558,276.
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Muuguzi kortini kwa kughushi