Kocha wa Prisons Apata nafuu na kuruhusiwa utoka Hospitali.
Aliekua kocha Mkuu wa Tanzania Prisons David Mwamaja ameruhusiwa kutoka Hospital ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa kwa siku kumi kutokana na kusumbuliwa na ugongwa wa kichwa baada damu kuvilia katika ubongo.
Mwamaja alianza kuugua ugonjwa huo wiki mbili zilizopita baada ya kuanguka akiwa katika majukumu ya kuinoa timu ya Mji Njombe inayoshiriki ligi daraja la kwanza.
Akizungumza kwa taabu kocha Mwamaja anaeleza kuwa alianguka katika korongo na kupoteza fahamu na baada ya kuzinduka akaanza...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Michael Olaitan apata nafuu
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Muuguzi apata nafuu maambukizo ya Ebola
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Kocha Tanzania Prisons ajitetea
10 years ago
Vijimambo14 Nov
VIDEO YA SIKU RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOTOKA HOSPITALI BAADA YA KUPATA NAFUU
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa EdwardSchaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore,Maryland, Marekani alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji watezi dume mwishoni mwa wiki iliyopita.Pamoja naye ni Mama Salma Kikwete na wasaidizi wake.
10 years ago
Dewji Blog15 Nov
VIDEO: Rais Kikwete akitoka hospitali ya Johns Hopkins baada ya kuapata nafuu
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Daktari Bingwa Edward Schaeffer kutoka Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Maryland, Marekani alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume mwishoni mwa wiki iliyopita. Pamoja naye ni Mama Salma Kikwete na wasaidizi wake.
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Tomas Berdych,apata kocha mpya
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Kocha Liewig apata kibarua Azam
9 years ago
Bongo511 Nov
Arsene Wenger apata tuzo ya kocha bora wa mwezi Oktoba
![wenger](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/wenger-300x194.jpg)
Kocha Arsene Wenger amechukua tuzo ya kocha bora wa mwezi katika ligi kuu ya Uingereza baada ya kuiongoza Arsenal kufanya vizuri mechi nne mfululizo.
Arsenal ilifunga magoli 11 katika mechi nne, huku ikizinyuka 3-0 United na Swansea.
Kwa upande wa wachezaji, tuzo hiyo imeenda kwa mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 15 katika klabu hiyo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote...
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Wahamiaji kuruhusiwa kuvuka Croatia