Kocha Tanzania Prisons ajitetea
Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, David Mwamwaja amekiri vijana wake hawakucheza kwa kiwango chao katika mchezo wao dhidi ya Mgambo Shooting uliomalizika kwa sare 1-1 kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili25 May
Kocha wa Atletico ajitetea kufungwa
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kocha Yanga ajitetea kwa Tegete
10 years ago
StarTV02 Nov
Kocha wa Prisons Apata nafuu na kuruhusiwa utoka Hospitali.
Aliekua kocha Mkuu wa Tanzania Prisons David Mwamaja ameruhusiwa kutoka Hospital ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa kwa siku kumi kutokana na kusumbuliwa na ugongwa wa kichwa baada damu kuvilia katika ubongo.
Mwamaja alianza kuugua ugonjwa huo wiki mbili zilizopita baada ya kuanguka akiwa katika majukumu ya kuinoa timu ya Mji Njombe inayoshiriki ligi daraja la kwanza.
Akizungumza kwa taabu kocha Mwamaja anaeleza kuwa alianguka katika korongo na kupoteza fahamu na baada ya kuzinduka akaanza...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Tanzania Prisons yatolewa nishai Kyela
TIMU ya Tanzania Prisons ya jijini Mbeya inayoshiriki Ligi Kuu Bara imeadhiriwa na watoto wa mchangani katika mchezo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa John Mwakangale (Shamba la Babu), uliopo kitongoji...
11 years ago
Mwananchi24 Oct
Okwi aumia, kuikosa Tanzania Prisons
10 years ago
Michuzi
SIMBA YAIPIGISHA KWATA TANZANIA PRISONS, YAIFUNGA 5-0



11 years ago
MichuziYANGA YAANZA LIGI YAICHAPA TANZANIA PRISONS 2-1
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
11 years ago
Michuzi15 Mar
kagera sugar yaichapa Tanzania prisons 2-1 leo bukoba
Na Faustine Ruta, Bukoba Ligi Kuu Vodacom imeendelea leo na hapa Mjini Bukoba tukishuhudia Timu ya Maafande kutoka Jijini Mbeya ikinyukwa bao 2-1 na wenyeji Kagera Sugar katika uwanja wa Kaitaba. Kipindi cha kwanza Tanzania Prisons ndio walipata bao kupitia kwa mchezaji wao Peter Michael katika dakika ya 37 baada ya kuwachambua kama karanga mabeki wa Kagera Sugar na kuachia shuti kali na kumfunga kipa wa Kagera Sugar. Mpaka dakika za mapumziko Tanzania Prisons...
5 years ago
CCM Blog
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AWAPATIA 'TANZANIA PRISONS SPORTS CLUB'



Na ASP. Lucas Mboje, DodomaKATIKA kutatua changamoto ya usafiri kwa Klabu ya mpira wa miguu ya Jeshi la Magereza(Tanzania Prisons SC). Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Suleiman Mzee ameipatia Klabu hiyo Basi dogo aina ya Costa lenye thamani ya Tsh. Milioni 75 kwa ajili ya kuisafirisha Timu kwenda mikoa mbalimbali nchini.
Akizungumza katika makabidhiano ya gari hilo...