Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Tanzania Prisons ajitetea

Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, David Mwamwaja amekiri vijana wake hawakucheza kwa kiwango chao katika mchezo wao dhidi ya Mgambo Shooting uliomalizika kwa sare 1-1 kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kocha wa Atletico ajitetea kufungwa

Kocha Mkuu wa Atletico Madrid Diego Simeone amekiri kuwa alifanya makosa kumpanga Diego Costa katika mechi ya fainali.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Yanga ajitetea kwa Tegete

Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amejitetea kwa uamuzi wake wa kumtoa mshambuliaji Jeryson Tegete na kumwingiza Hussein Javu wakati wa mechi dhidi ya Prisons.

 

10 years ago

StarTV

Kocha wa Prisons Apata nafuu na kuruhusiwa utoka Hospitali.

Aliekua kocha Mkuu wa Tanzania Prisons David Mwamaja ameruhusiwa kutoka Hospital ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa kwa siku kumi kutokana na kusumbuliwa na ugongwa wa kichwa baada damu kuvilia katika ubongo.

Mwamaja alianza kuugua ugonjwa huo wiki mbili zilizopita baada ya kuanguka akiwa katika majukumu ya kuinoa timu ya Mji Njombe inayoshiriki ligi daraja la kwanza.

Akizungumza kwa taabu kocha Mwamaja anaeleza kuwa alianguka katika korongo na kupoteza fahamu na baada ya kuzinduka akaanza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania Prisons yatolewa nishai Kyela

TIMU ya Tanzania Prisons ya jijini Mbeya inayoshiriki Ligi Kuu Bara imeadhiriwa na watoto wa mchangani katika mchezo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa John Mwakangale (Shamba la Babu), uliopo kitongoji...

 

11 years ago

Mwananchi

Okwi aumia, kuikosa Tanzania Prisons

Jinamizi la majeruhi limezidi kuiandama Simba baada ya mshambuliaji wake mahiri Emmanuel Okwi kuumia kifundo cha mguu na kuna uwezekano wa kuikosa mechi ya kesho dhidi ya Prisons.

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA YAIPIGISHA KWATA TANZANIA PRISONS, YAIFUNGA 5-0

 Beki wa Simba, Mohamed Hussein akiwatoka wachezaji wa Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Beki wa Tanzania Prisons akichuana na mshambuliaji wa Simba.Wachezaji wa timu ya Simba wakishangilia ushindi wa timu yao baada ya kuifunga Tanzania Prisons 5-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mohamed Hussein wa Simba akiwania mpira na beki wa...

 

11 years ago

Michuzi

YANGA YAANZA LIGI YAICHAPA TANZANIA PRISONS 2-1

Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Tanzania Prisons, Lauvian Mpalile (kushoto) na Jeremia Juma wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 2-1. (Picha na Francis Dande) Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Tanzania Prisons, Lauvian Mpalile. Jaja akimtoka beki wa Prisons, Nurdin.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

kagera sugar yaichapa Tanzania prisons 2-1 leo bukoba

Kikosi cha Kagera Sugar
Na Faustine Ruta,  Bukoba Ligi Kuu Vodacom imeendelea leo na hapa Mjini Bukoba tukishuhudia Timu ya Maafande kutoka Jijini Mbeya ikinyukwa bao 2-1 na  wenyeji Kagera Sugar katika uwanja wa Kaitaba.  Kipindi cha kwanza Tanzania Prisons ndio walipata bao kupitia kwa mchezaji wao Peter Michael katika dakika ya 37 baada ya kuwachambua kama karanga mabeki wa Kagera Sugar na kuachia shuti kali na kumfunga kipa wa Kagera Sugar.  Mpaka dakika za mapumziko Tanzania Prisons...

 

5 years ago

CCM Blog

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AWAPATIA 'TANZANIA PRISONS SPORTS CLUB'







Basi aina ya Costa lililotolewa kwaajili ya usafiri kwa Klabu ya mpira wa miguu ya Jeshi la Magereza(Tanzania Prisons SC).
Na ASP. Lucas Mboje, DodomaKATIKA kutatua changamoto ya usafiri kwa Klabu ya mpira wa miguu ya Jeshi la Magereza(Tanzania Prisons SC). Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Suleiman Mzee ameipatia Klabu hiyo Basi dogo aina ya Costa lenye thamani ya Tsh. Milioni 75 kwa ajili ya kuisafirisha Timu kwenda mikoa mbalimbali nchini.
Akizungumza katika makabidhiano ya gari hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani