Tanzania Prisons yatolewa nishai Kyela
TIMU ya Tanzania Prisons ya jijini Mbeya inayoshiriki Ligi Kuu Bara imeadhiriwa na watoto wa mchangani katika mchezo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa John Mwakangale (Shamba la Babu), uliopo kitongoji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Kocha Tanzania Prisons ajitetea
Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, David Mwamwaja amekiri vijana wake hawakucheza kwa kiwango chao katika mchezo wao dhidi ya Mgambo Shooting uliomalizika kwa sare 1-1 kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Okwi aumia, kuikosa Tanzania Prisons
Jinamizi la majeruhi limezidi kuiandama Simba baada ya mshambuliaji wake mahiri Emmanuel Okwi kuumia kifundo cha mguu na kuna uwezekano wa kuikosa mechi ya kesho dhidi ya Prisons.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Eg71z3Pg4jE/VPHh3kuZ0nI/AAAAAAABUXY/teGAAt9BmnM/s72-c/1.jpg)
SIMBA YAIPIGISHA KWATA TANZANIA PRISONS, YAIFUNGA 5-0
![](http://1.bp.blogspot.com/-Eg71z3Pg4jE/VPHh3kuZ0nI/AAAAAAABUXY/teGAAt9BmnM/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3YvMzYtZWyg/VPHh3HnFrII/AAAAAAABUXU/VTYWBa6mO4g/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MnOuVhoi6ho/VPHh4UlEQUI/AAAAAAABUXk/cv7BegBS2q8/s1600/3.jpg)
10 years ago
MichuziYANGA YAANZA LIGI YAICHAPA TANZANIA PRISONS 2-1
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Kiluvya yaitoa nishai Ashanti
Ashanti United ina kazi ya kurekebisha kikosi chake kabla ya kuanza kwa msimu ujao wa Ligi Daraja la Kwanza baada ya kufungwa mabao 2-1 na Kiluvya United Jumamosi kwenye Uwanja wa Tamco Kibaha, Pwani.
11 years ago
Michuzi15 Mar
kagera sugar yaichapa Tanzania prisons 2-1 leo bukoba
Na Faustine Ruta, Bukoba Ligi Kuu Vodacom imeendelea leo na hapa Mjini Bukoba tukishuhudia Timu ya Maafande kutoka Jijini Mbeya ikinyukwa bao 2-1 na wenyeji Kagera Sugar katika uwanja wa Kaitaba. Kipindi cha kwanza Tanzania Prisons ndio walipata bao kupitia kwa mchezaji wao Peter Michael katika dakika ya 37 baada ya kuwachambua kama karanga mabeki wa Kagera Sugar na kuachia shuti kali na kumfunga kipa wa Kagera Sugar. Mpaka dakika za mapumziko Tanzania Prisons...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRATZRR1haI9t6ufNRtKukv442duOw4wuaLcXetUzrIgLheztsOXfVFMqMO-MDZfruPtp9Kquu6lV5G5yj3T5f0ZF/dude.jpg?width=650)
DUDE AWATOA NISHAI BONGO MUVI
Stori:Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amewatoa nishai viongozi wa Bongo Muvi kwa kueleza kuwa, risala iliyosomwa siku ya ‘bethidei’ yao ya kutimiza miaka mitatu imepotosha ukweli. Staa wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Dude alisema ameshangaa kusikia kwenye risala hiyo kuwa waanzilishi wa umoja huo ni Kanumba, Sajuki,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cwh76f0JjbnEHDwZtDdiW*B*vOLD8dJAEIE-rbQwnou6pQH8*skwqQCpS7HUFDj3JbGtobFDwwkhlapx-p*uY3Hpp2IJKCvt/maipdf.jpg?width=650)
VIATU VIREFU VYAMTOA NISHAI MAIMARTHA
Na Gladness Mallya
MTANGAZAJI maarufu Bongo, Maimartha Jesse amejikuta akiteguka mguu baada ya kudondoshwa na viatu virefu alivyokuwa amevaa. Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse. Paparazi wetu alimshuhudia Maimartha akiwa anachechemea kwenye sherehe moja ya kitchen party hivi karibuni huku akiwa bado amevaa viatu virefu na alipoulizwa kulikoni anachechemea alijibu kwamba aliteguka mguu baada ya kudondoshwa na viatu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sdIAlVsUDi8/XsKPBXY8RlI/AAAAAAALqr0/4bNBtHr_qvw0NOC-CVIYmQPXsbEiSxBZACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200518-WA0071.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AWAPATIA 'TANZANIA PRISONS SPORTS CLUB'
![](https://1.bp.blogspot.com/-sdIAlVsUDi8/XsKPBXY8RlI/AAAAAAALqr0/4bNBtHr_qvw0NOC-CVIYmQPXsbEiSxBZACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200518-WA0071.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8EK5Yevhr3w/XsKMdFH7YpI/AAAAAAALqrg/6y5qj-FB27o4EBx9jCUisY1fnbqVwQ1awCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200518_094008%2B%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iXCrDAw-yI4/XsKMbt-IgEI/AAAAAAALqrY/p1bgoOz__gEUxaiB5jnHUiXGURAjgxb8gCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200518_094035%2B%25281%2529.jpg)
Na ASP. Lucas Mboje, DodomaKATIKA kutatua changamoto ya usafiri kwa Klabu ya mpira wa miguu ya Jeshi la Magereza(Tanzania Prisons SC). Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Suleiman Mzee ameipatia Klabu hiyo Basi dogo aina ya Costa lenye thamani ya Tsh. Milioni 75 kwa ajili ya kuisafirisha Timu kwenda mikoa mbalimbali nchini.
Akizungumza katika makabidhiano ya gari hilo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania