Kiluvya yaitoa nishai Ashanti
Ashanti United ina kazi ya kurekebisha kikosi chake kabla ya kuanza kwa msimu ujao wa Ligi Daraja la Kwanza baada ya kufungwa mabao 2-1 na Kiluvya United Jumamosi kwenye Uwanja wa Tamco Kibaha, Pwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Nov
COSATU yaitoa NUMSA
9 years ago
Habarileo30 Oct
Azam yaitoa Yanga kileleni
AZAM jana ilishika usukani wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya JKT Ruvu. Mchezo huo uliokuwa na ushindani wa hali ya juu ulifanyika Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, ambapo hadi mapumziko washindi walikuwa mbele kwa mabao 2-1.
9 years ago
Habarileo18 Aug
Basata yaitoa kifungoni Miss Tanzania
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limelifungulia shindano la urembo la Miss Tanzania baada ya kuridhishwa na mabadiliko kutoka kwa mratibu wake Kampuni ya LINO International Agency Limited.
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Tanzania Prisons yatolewa nishai Kyela
TIMU ya Tanzania Prisons ya jijini Mbeya inayoshiriki Ligi Kuu Bara imeadhiriwa na watoto wa mchangani katika mchezo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa John Mwakangale (Shamba la Babu), uliopo kitongoji...
11 years ago
GPLVIATU VIREFU VYAMTOA NISHAI MAIMARTHA
11 years ago
GPLDUDE AWATOA NISHAI BONGO MUVI
10 years ago
MichuziMartin Skrtel awatoa nishai arsenal dakika za lala salama leo
Refa Michael Oliver aliongeza dakika tisa kufuatia mpira kusimama kwa muda mrefu baada ya Skrtel kuumizwa na kupatiwa huduma ya kwanza baada ya kugongana kwa bahati mbaya na Olivier Giroud wa Arsenal.
Giroud alionekana tayari kaipaisha Arsenal kuelekea kwenye...
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Kiluvya yawatuliza Mlale