Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiluvya yaitoa nishai Ashanti

Ashanti United ina kazi ya kurekebisha kikosi chake kabla ya kuanza kwa msimu ujao wa Ligi Daraja la Kwanza baada ya kufungwa mabao 2-1 na Kiluvya United Jumamosi kwenye Uwanja wa Tamco Kibaha, Pwani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

COSATU yaitoa NUMSA

Jumuia ya wafanyakazi wa Afrika Kusini, COSATU, yakitoa katika jumuia chama cha wachimba migodi cha NUMSA

 

9 years ago

Habarileo

Azam yaitoa Yanga kileleni

AZAM jana ilishika usukani wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya JKT Ruvu. Mchezo huo uliokuwa na ushindani wa hali ya juu ulifanyika Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, ambapo hadi mapumziko washindi walikuwa mbele kwa mabao 2-1.

 

9 years ago

Habarileo

Basata yaitoa kifungoni Miss Tanzania

BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limelifungulia shindano la urembo la Miss Tanzania baada ya kuridhishwa na mabadiliko kutoka kwa mratibu wake Kampuni ya LINO International Agency Limited.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania Prisons yatolewa nishai Kyela

TIMU ya Tanzania Prisons ya jijini Mbeya inayoshiriki Ligi Kuu Bara imeadhiriwa na watoto wa mchangani katika mchezo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa John Mwakangale (Shamba la Babu), uliopo kitongoji...

 

11 years ago

GPL

VIATU VIREFU VYAMTOA NISHAI MAIMARTHA

Na Gladness Mallya
MTANGAZAJI maarufu Bongo, Maimartha Jesse amejikuta akiteguka mguu baada ya kudondoshwa na viatu virefu alivyokuwa amevaa. Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse. Paparazi wetu alimshuhudia Maimartha akiwa anachechemea kwenye sherehe moja ya kitchen party hivi karibuni huku akiwa bado amevaa viatu virefu na alipoulizwa kulikoni anachechemea alijibu kwamba aliteguka mguu baada ya kudondoshwa na viatu...

 

11 years ago

GPL

DUDE AWATOA NISHAI BONGO MUVI

Stori:Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amewatoa nishai viongozi wa Bongo Muvi kwa kueleza kuwa, risala iliyosomwa siku ya ‘bethidei’ yao ya kutimiza miaka mitatu imepotosha ukweli. Staa wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Dude alisema ameshangaa kusikia kwenye risala hiyo kuwa waanzilishi wa umoja huo ni Kanumba, Sajuki,...

 

10 years ago

Michuzi

Martin Skrtel awatoa nishai arsenal dakika za lala salama leo

Na Sultani Kipingo Goli la kusawazisha lililofungwa kwa kichwa na Martin Skrtel (pichani) dakika saba ndani ya muda wa nyongeza leo umewapa Liverpool ushindi waliostahili dhidi ya Arsenal katika uwanja wao wa nyumbani wa Anfield. 
Refa Michael Oliver aliongeza dakika tisa kufuatia mpira kusimama kwa muda mrefu baada ya Skrtel kuumizwa na kupatiwa huduma ya kwanza baada ya kugongana kwa bahati mbaya na Olivier Giroud wa Arsenal. 
Giroud alionekana tayari kaipaisha Arsenal kuelekea kwenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Kiluvya yawatuliza Mlale

Mabingwa wa Mkoa wa Pwani, Timu ya Kiluvya United ya Kiluvya nje kidogo ya jiji, mwishoni mwa wiki imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya JKT Mlale.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani