VIATU VIREFU VYAMTOA NISHAI MAIMARTHA
![](http://api.ning.com:80/files/cwh76f0JjbnEHDwZtDdiW*B*vOLD8dJAEIE-rbQwnou6pQH8*skwqQCpS7HUFDj3JbGtobFDwwkhlapx-p*uY3Hpp2IJKCvt/maipdf.jpg?width=650)
Na Gladness Mallya MTANGAZAJI maarufu Bongo, Maimartha Jesse amejikuta akiteguka mguu baada ya kudondoshwa na viatu virefu alivyokuwa amevaa. Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse. Paparazi wetu alimshuhudia Maimartha akiwa anachechemea kwenye sherehe moja ya kitchen party hivi karibuni huku akiwa bado amevaa viatu virefu na alipoulizwa kulikoni anachechemea alijibu kwamba aliteguka mguu baada ya kudondoshwa na viatu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq*5DPwGM7yMvaYoFKjdr0vqCkuX1uAsNC3bTEQgGYxBCpZZ*didYDzomH1Tgykz-1yx2bABvNcyqREKIMFvYs73/a.jpg?width=650)
ZARI AONYWA VIATU VIREFU NA UJAUZITO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-RBs8*rgvkbF4iCJXSZQWasvsG2XTsm0CQ0qfrKcYEzYBc9Gg8st-LmorB3L8LVCkYqShN4*pGaccKS1AS*JL5t/29941008000005783122119imagea53_1434155647453.jpg?width=550)
VIATU VIREFU VYAMUUMBUA KIM KARDASHIAN
5 years ago
CCM Blog![](https://3.bp.blogspot.com/-zl9PTcIVcNI/XCTwyOsi_cI/AAAAAAAArgo/OKKRvNkZIZkIXrcnSbQHjYRE8fR0gRC1wCLcBGAs/s72-c/1-6%2B%25281%2529.png)
MADHARA YA UVAAJI VIATU VIREFU KWA WANAWAKE
![](https://3.bp.blogspot.com/-zl9PTcIVcNI/XCTwyOsi_cI/AAAAAAAArgo/OKKRvNkZIZkIXrcnSbQHjYRE8fR0gRC1wCLcBGAs/s640/1-6%2B%25281%2529.png)
Kutokana na utafiti wa kitaalamu, mwanamke ana uwezo wa kutembea wastani wa hatua 10,000 kwa siku.Visigino virefu hufanya nguvu inayotumika kutembea hatua moja kuwa kubwa kuliko kawaida, huku vikikunyima raha ya kutembea...
10 years ago
Dewji Blog15 Jan
Mmiliki wa kiwanda cha viatu (WOISO) aelezea mafanikio yake kupitia shuguli ya ushonaji viatu
Mmiliki wa Kiwanda cha Viatu WOISO kilichopo Tegeta jijini Dar es Salaam ,Bw Kenneth Herman (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati akielezea mafanikio yake alioyapata kupitia shuguli za kushona viatu na kuweza kumiliki Kiwanda cha Viatu na kuwaajili watu zaidi ya 2,50. Kwenye kiwanda hicho (kushoto), Msimazi wa Kiwanda hicho Bi.Teya Herman.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).
Wafanyakazi wa kiwanda cha WOISO wakiwa kazini.
Eliza Hamad, akiwa na mfanyakazi mwezie Bw.Hilari Kimario...
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Kiluvya yaitoa nishai Ashanti
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRATZRR1haI9t6ufNRtKukv442duOw4wuaLcXetUzrIgLheztsOXfVFMqMO-MDZfruPtp9Kquu6lV5G5yj3T5f0ZF/dude.jpg?width=650)
DUDE AWATOA NISHAI BONGO MUVI
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Tanzania Prisons yatolewa nishai Kyela
TIMU ya Tanzania Prisons ya jijini Mbeya inayoshiriki Ligi Kuu Bara imeadhiriwa na watoto wa mchangani katika mchezo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa John Mwakangale (Shamba la Babu), uliopo kitongoji...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Fwbc7Cu1tMA/VJcm48MmG-I/AAAAAAAG47g/XGnMMTTGzQU/s72-c/_79877643_martin_skrtel_getty.jpg)
Martin Skrtel awatoa nishai arsenal dakika za lala salama leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fwbc7Cu1tMA/VJcm48MmG-I/AAAAAAAG47g/XGnMMTTGzQU/s1600/_79877643_martin_skrtel_getty.jpg)
Refa Michael Oliver aliongeza dakika tisa kufuatia mpira kusimama kwa muda mrefu baada ya Skrtel kuumizwa na kupatiwa huduma ya kwanza baada ya kugongana kwa bahati mbaya na Olivier Giroud wa Arsenal.
Giroud alionekana tayari kaipaisha Arsenal kuelekea kwenye...