Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiluvya yawatuliza Mlale

Mabingwa wa Mkoa wa Pwani, Timu ya Kiluvya United ya Kiluvya nje kidogo ya jiji, mwishoni mwa wiki imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya JKT Mlale.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

JKT MLALE YATAKIWA KUILIPA LYON

Klabu ya JKT Mlale imeamriwa kuilipa African Lyon jumla ya sh. 600,000 ikiwa ni ada ya uhamisho na fidia kwa kumtumia mchezaji Noel Lucas .

 

10 years ago

Mwananchi

TRA Mbinga yawatuliza wafanyabiashara

Wafanyabiashara wilayani Mbinga Mkoa wa Ruvuma wametakiwa kuendelea kuwa watulivu na kulipa kodi ya mapato kwa viwango vilivyowekwa kisheria hadi hapo watakapoelekezwa utaratibu mwingine.

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga yawatuliza nyota wake

NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wamepanga kuwatuliza nyota wao kwa kuanzisha mipango endelevu ndani ya klabu hiyo ambayo itawahamasisha na kuwavutia kuendelea kuitumikia timu yao kwa mafanikio msimu ujao.
Kwa sasa Yanga inajiandaa na michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame) itakayofanyika Julai, mwaka huu nchini.
Lakini baada ya kumalizika kwa Ligi Kuu Mei 9 mwaka huu, Yanga wameendelea kuvuta subira kwenye usajili...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine yawatuliza wanaotaka kujitenga

Waziri Mkuu wa mpito wa Ukraine amewaambia viongozi wa eneo la mashariki mwa nchi hiyo kwamba amekusudia kuwaongezea madaraka.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiluvya yaitoa nishai Ashanti

Ashanti United ina kazi ya kurekebisha kikosi chake kabla ya kuanza kwa msimu ujao wa Ligi Daraja la Kwanza baada ya kufungwa mabao 2-1 na Kiluvya United Jumamosi kwenye Uwanja wa Tamco Kibaha, Pwani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kiteshe Sound kupagawisha Kiluvya leo

BENDI mpya ya muziki wa dansi inayokuja kwa kasi ya Kiteshe Sound, leo Ijumaa inatarajia kutoa burudani ya aina yake kwa wakazi wa mji mdogo wa Kiluvya kwa Komba na...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA KILUVYA GOGONI NA KIBOSHO

Marehemu Mzee Aloyce Kirango Familia ya Mzee Aloyce Kirango wa Gogoni, Kiluvya, Dar es salaam,  inasikitika kutangaza kifo cha Baba yao mpendwa kilichotokea tarehe 21 april 2014 asubuhi. Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu  Gogoni  Kiluvya. Habari ziwafikie ndugu jamaa na marafiki wote wa familia.

 

10 years ago

Michuzi

Waliopigania ukombozi China wasaidia Kiluvya ‘B’

Mlezi wa Shule ya Msingi Kiluvya ‘B’, Kanali Thomas Ndonde (wa pili kulia), akimkabidhi hati ya utambuzi wa ushirikiano wa maendeleo baina ya shule hiyo na wataalamu wa Jeshi la Ukombozi wa China, Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Ziada Libaba wakati wa hafla ya kukabidhiwa misaada yenye thamani ya ShMilioni 3, iliyofanyika shuleni hapo jana. Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Kiluvya ‘B’, Ziada Libaba akikabidhiwa moja ya kompyuta mpakato kutoka kwa Kiongozi wa msafara wa wapiganaji wa Jeshi la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani