Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiteshe Sound kupagawisha Kiluvya leo

BENDI mpya ya muziki wa dansi inayokuja kwa kasi ya Kiteshe Sound, leo Ijumaa inatarajia kutoa burudani ya aina yake kwa wakazi wa mji mdogo wa Kiluvya kwa Komba na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Madee, Chege kupagawisha mashabiki Coco Beach leo

KAMPUNI ya Vodacom imeandaa tamasha kwa wateja na mashabiki wa muziki katika viwanja vya fukwe za Coco wakati huu ikiwaleta wasanii mahiri kimuziki, Ahmad Ally ‘Madee’ na Juma Said ‘Chege’....

 

10 years ago

Dewji Blog

Ali Kiba, Isha Mashauzi, Msaga Sumu na wengineo kupagawisha Pasaka Dar Live leo

MwanaDarIle shoo kubwa  na ya kijanja iliyokuwa ikisubiriwa na mashabiki wengi wa burudani imewadia ambapo leo Aprili, 5 (Sikukuu ya Pasaka) ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar mastaa wa muziki Bongo kama, Ali Kiba ‘Mwana Dar Live’, Isha Mashauzi, Msaga Sumu na wengineo wanatarajiwa kutikisa vilivyo mashabiki watakaojitokeza. 

Kwa mujibu wa  Mratibu wa burudani katika ukumbi huo, Abdallah Mrisho ‘Abby Cool’ aliawaomba mashabiki wote kufika kwa wingi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Chameleon kupagawisha Arusha

MSANII mahiri wa Uganda, Dk. Jose Chameleon, anatarajia kufanya shoo ya aina yake mjini hapa Juni 27. Dk. Chameleon amebainisha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zake na anaipenda sana,...

 

11 years ago

Mwananchi

Kiluvya yawatuliza Mlale

Mabingwa wa Mkoa wa Pwani, Timu ya Kiluvya United ya Kiluvya nje kidogo ya jiji, mwishoni mwa wiki imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya JKT Mlale.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiluvya yaitoa nishai Ashanti

Ashanti United ina kazi ya kurekebisha kikosi chake kabla ya kuanza kwa msimu ujao wa Ligi Daraja la Kwanza baada ya kufungwa mabao 2-1 na Kiluvya United Jumamosi kwenye Uwanja wa Tamco Kibaha, Pwani.

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA KILUVYA GOGONI NA KIBOSHO

Marehemu Mzee Aloyce Kirango Familia ya Mzee Aloyce Kirango wa Gogoni, Kiluvya, Dar es salaam,  inasikitika kutangaza kifo cha Baba yao mpendwa kilichotokea tarehe 21 april 2014 asubuhi. Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu  Gogoni  Kiluvya. Habari ziwafikie ndugu jamaa na marafiki wote wa familia.

 

10 years ago

Michuzi

COAST MODERN TAARAB KUPAGAWISHA MSATA

Na Mwandishi Wetu, KibahaBENDI ya Muziki wa Taarabu ya Coast Modern Taarab ya Jijini Dar es Salaam inatarajia kutoa burudani Novemba 27 mwaka huu kwenye mji wa Msata wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.Akizungumza na waandishi wa habari mjini Kibaha mkurugenzi wa ukumbi itakapofanyika onyesho hilo, Msukuma Pub Msukuma Mwinzarubi alisema kuwa maandalizi yamekamilika.Mwinzarubi alisema kuwa burudani hiyo itaongozwa na gwiji wa taarabu Jokha Kassim ambaye anatamba na kibao chake cha Domo la...

 

10 years ago

Michuzi

Waliopigania ukombozi China wasaidia Kiluvya ‘B’

Mlezi wa Shule ya Msingi Kiluvya ‘B’, Kanali Thomas Ndonde (wa pili kulia), akimkabidhi hati ya utambuzi wa ushirikiano wa maendeleo baina ya shule hiyo na wataalamu wa Jeshi la Ukombozi wa China, Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Ziada Libaba wakati wa hafla ya kukabidhiwa misaada yenye thamani ya ShMilioni 3, iliyofanyika shuleni hapo jana. Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Kiluvya ‘B’, Ziada Libaba akikabidhiwa moja ya kompyuta mpakato kutoka kwa Kiongozi wa msafara wa wapiganaji wa Jeshi la...

 

10 years ago

Mwananchi

Dully Sykes: Kazi yangu kupagawisha

Unaweza kumwita mburudishaji badala ya msanii kutokana na aina ya muziki anayofanya, nyimbo zake nyingi ni za kucheza na siyo kusikiliza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani