Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Chameleon kupagawisha Arusha

MSANII mahiri wa Uganda, Dk. Jose Chameleon, anatarajia kufanya shoo ya aina yake mjini hapa Juni 27. Dk. Chameleon amebainisha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zake na anaipenda sana,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Shedy Clever kuwakutanisha Diamond na Jose Chameleon

MTAYARISHAJI muziki wa nyota wa Bongo fleva nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’, Sheddy Clever, amesema ana mpango wa kumkutanisha msanii huyo na mkali kutoka Uganda, Joseph Chameleon kwenye wimbo anaouandaa....

 

10 years ago

Michuzi

COAST MODERN TAARAB KUPAGAWISHA MSATA

Na Mwandishi Wetu, KibahaBENDI ya Muziki wa Taarabu ya Coast Modern Taarab ya Jijini Dar es Salaam inatarajia kutoa burudani Novemba 27 mwaka huu kwenye mji wa Msata wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.Akizungumza na waandishi wa habari mjini Kibaha mkurugenzi wa ukumbi itakapofanyika onyesho hilo, Msukuma Pub Msukuma Mwinzarubi alisema kuwa maandalizi yamekamilika.Mwinzarubi alisema kuwa burudani hiyo itaongozwa na gwiji wa taarabu Jokha Kassim ambaye anatamba na kibao chake cha Domo la...

 

11 years ago

Mwananchi

Dully Sykes: Kazi yangu kupagawisha

Unaweza kumwita mburudishaji badala ya msanii kutokana na aina ya muziki anayofanya, nyimbo zake nyingi ni za kucheza na siyo kusikiliza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kiteshe Sound kupagawisha Kiluvya leo

BENDI mpya ya muziki wa dansi inayokuja kwa kasi ya Kiteshe Sound, leo Ijumaa inatarajia kutoa burudani ya aina yake kwa wakazi wa mji mdogo wa Kiluvya kwa Komba na...

 

11 years ago

GPL

JOSE CHAMELEONE ATUA BONGO, KUPAGAWISHA MAISHA CLUB

Chameleone akitoka uwanja wa ndege kuelekea kwenye gari.
…Akiwa na wenyeji wake waliofika kumpokea.
…Akisalimiana na mmoja wa wafanyakazi wa ukumbi wa New Maisha Club anayejulikana kwa jina la…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madee, Chege kupagawisha mashabiki Coco Beach leo

KAMPUNI ya Vodacom imeandaa tamasha kwa wateja na mashabiki wa muziki katika viwanja vya fukwe za Coco wakati huu ikiwaleta wasanii mahiri kimuziki, Ahmad Ally ‘Madee’ na Juma Said ‘Chege’....

 

11 years ago

Dewji Blog

Bendi ya kijanja Skylight yazidi kupagawisha mashabiki wake Thai Village

DSC_0006

Aneth Kushaba AK 47 akiongoza Madiva wenzake kutoa burudani kwa wapenzi wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye ukumbi wa Thai Village Masaki jijini Dar.(Picha na Zainul Mzige).

loveness

Birthday Girl mdau wa Skylight Band Loveness akihamaki alipokuwa akiimbiwa wimbo maalum na Skylight Band ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita alipoadhimisha miaka kadhaa ya kuzaliwa kwake.

DSC_0130

Aaaaah imagine sauti inayotoka hapo…Si mwingine ni Aneth Kushaba AK47 akiwapa raha fans wa Skylight Band.

DSC_0019

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani