Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DOWNLOAD : PROFESSOR JAY ft. JOSE CHAMELEON - KWA AJILI YAKO

Jamtz.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Professor Jay f/ Jose Chameleone — Kwaajili Yako

Professor Jay ameachia single yake mpya aliyomshirikisha swahiba wake, Jose Chameleone. Ngoma inaitwa ‘Kwaajili Yako’ na imetayarishwa na Villy kwenye studio za Mwanalizombe.

 

9 years ago

Bongo5

Jose Chameleone ampongeza Professor Jay kwa kushinda ubunge

Mwanamuziki wa Uganda, Jose Chameleone amempongeza rafiki na msanii mwenzake Joseph Haule a.k.a Professor Jay kwa kusinda ubunge jimbo la Mikumi katika uchaguzi uliofanyika Oct.25. Professor na Chameleone waliwahi kushirikiana katika remix ya wimbo wa ‘Ndivyo Sivyo’ miaka kadhaa iliyopita, pamoja na wimbo mwingine uitwao ‘Kwaajili Yako’ ambao Professor alimshirikisha mkali huyo kupitia studio yake […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shedy Clever kuwakutanisha Diamond na Jose Chameleon

MTAYARISHAJI muziki wa nyota wa Bongo fleva nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’, Sheddy Clever, amesema ana mpango wa kumkutanisha msanii huyo na mkali kutoka Uganda, Joseph Chameleon kwenye wimbo anaouandaa....

 

10 years ago

Michuzi

HABARI NJEMA kwa kila shabiki wa PROFESSOR JAY.

Naomba kutumia fursa hii kuitambulisha kwenu rasmi official website yangu ambayo ni http://www.profesajay.comKwa habari zangu za uhakika, kuhusu MUZIKI, VIDEOS, SHOWS, INTERVIEWS, PHOTOS na kila kinachonihusu... Kuwa wa kwanza kupata taarifa zangu, Asanteni sana kwa kunisupport siku zote!! LOVE..

 

9 years ago

Bongo5

Ujumbe wa Sugu kwa Professor Jay kuhusu lawama za wasanii

sugu na jay

Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu na Mbunge wa jimbo la Mikumi Mhe. Joseph Haule a.k.a Professor Jay, ni wasanii wa muziki ambao wamefanikiwa kuingia kwenye Bunge la 11 baada ya kushinda kwenye uchaguzi wa mwaka huu.

sugu na jay

Kupitia 255 ya XXL Sugu ambaye alikuwa Mbunge kwenye bunge lililopita, amempa ushauri Professor ambaye ndio ameingia mjengoni kwa mara ya kwanza kuhusu malalamiko kutoka kwa wasanii.

“Unajua wasanii wamekuwa wakilalamika kuhusu uwepo wangu...

 

11 years ago

Bongo5

Wewe ni shabiki wa professor Jay? Atoa mwaliko kwa anayetaka kutokea kwenye video ya ‘Kipi Sijasikia’ Jumamosi hii (July 12)

Rapper mkongwe Professor Jay anatarajia kushoot video ya single yake ya sasa ‘Kipi Sijasikia’ aliyomshirikisha Diamond Platnumz weekend hii. Kupitia Instagram Jay ametoa mwaliko kwa shabiki wake yeyote atakayependa kuonekana kwenye video hiyo itakayoanza kurekodiwa Jumamosi hii (July 12). “KINGS and QUEENS wote Mnakaribishwa kwenye Video shooting ya KIPI SIJASIKIA, MUHIMU; Vigezo na Masharti Kuzingatiwa!!!” […]

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Nitaendelea kufanya muziki — Professor Jay

Professor akiwa kwenye shughuli za kisiasaMbunge mteule wa Mikumi kipitia tiketi ya CHADEMA, Joseph Haule aka Professor Jay, amesema ataendelea kufanya muziki hata akiwa bungeni kwa sababu ndio kitu kilichomfikisha hapo alipo. Professor amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa ataendelea kukiheshimu kipaji chake licha ya kupata tiketi ya kuingia bungeni. “Muziki niliokuwa nikiufanya na ninaoendelea kuufanya ni sauti […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani