Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujumbe wa Sugu kwa Professor Jay kuhusu lawama za wasanii

sugu na jay

Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu na Mbunge wa jimbo la Mikumi Mhe. Joseph Haule a.k.a Professor Jay, ni wasanii wa muziki ambao wamefanikiwa kuingia kwenye Bunge la 11 baada ya kushinda kwenye uchaguzi wa mwaka huu.

sugu na jay

Kupitia 255 ya XXL Sugu ambaye alikuwa Mbunge kwenye bunge lililopita, amempa ushauri Professor ambaye ndio ameingia mjengoni kwa mara ya kwanza kuhusu malalamiko kutoka kwa wasanii.

“Unajua wasanii wamekuwa wakilalamika kuhusu uwepo wangu...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Nikiwa mbunge msinitegemee sana kuongelea matatizo ya wasanii — Professor Jay

Wasanii wasitegemee msaada wa maana pindi Professor Jay akiingia bungeni. Rapper huyo anayewania ubunge kwenye jimbo la Mikumi mkoani Morogoro amesema atatumia wadhifa huo kuwahudumia wananchi wa Mikumi. Professor amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa atakuwa mbunge wa watu wa Mikumi hivyo atatumia muda kuwatumikia watu wake. “Nimewaambia wasanii wangu na […]

 

10 years ago

Michuzi

HABARI NJEMA kwa kila shabiki wa PROFESSOR JAY.

Naomba kutumia fursa hii kuitambulisha kwenu rasmi official website yangu ambayo ni http://www.profesajay.comKwa habari zangu za uhakika, kuhusu MUZIKI, VIDEOS, SHOWS, INTERVIEWS, PHOTOS na kila kinachonihusu... Kuwa wa kwanza kupata taarifa zangu, Asanteni sana kwa kunisupport siku zote!! LOVE..

 

9 years ago

Bongo5

Jose Chameleone ampongeza Professor Jay kwa kushinda ubunge

Mwanamuziki wa Uganda, Jose Chameleone amempongeza rafiki na msanii mwenzake Joseph Haule a.k.a Professor Jay kwa kusinda ubunge jimbo la Mikumi katika uchaguzi uliofanyika Oct.25. Professor na Chameleone waliwahi kushirikiana katika remix ya wimbo wa ‘Ndivyo Sivyo’ miaka kadhaa iliyopita, pamoja na wimbo mwingine uitwao ‘Kwaajili Yako’ ambao Professor alimshirikisha mkali huyo kupitia studio yake […]

 

11 years ago

Bongo5

Wewe ni shabiki wa professor Jay? Atoa mwaliko kwa anayetaka kutokea kwenye video ya ‘Kipi Sijasikia’ Jumamosi hii (July 12)

Rapper mkongwe Professor Jay anatarajia kushoot video ya single yake ya sasa ‘Kipi Sijasikia’ aliyomshirikisha Diamond Platnumz weekend hii. Kupitia Instagram Jay ametoa mwaliko kwa shabiki wake yeyote atakayependa kuonekana kwenye video hiyo itakayoanza kurekodiwa Jumamosi hii (July 12). “KINGS and QUEENS wote Mnakaribishwa kwenye Video shooting ya KIPI SIJASIKIA, MUHIMU; Vigezo na Masharti Kuzingatiwa!!!” […]

 

11 years ago

GPL

9 years ago

AllAfrica.Com

Professor Jay Wins Parliamentary Seat


Professor Jay Wins Parliamentary Seat
AllAfrica.com
Tanzanian legendary hip-hop artiste Joseph Haule aka Professor Jay is the new Mikumi Constituency member of parliament. The 40-year-old rapper, who so far has five solo studio albums, beat his fellow contestants in a hotly-contested elections that ...

 

9 years ago

Bongo5

Nitaendelea kufanya muziki — Professor Jay

Professor akiwa kwenye shughuli za kisiasaMbunge mteule wa Mikumi kipitia tiketi ya CHADEMA, Joseph Haule aka Professor Jay, amesema ataendelea kufanya muziki hata akiwa bungeni kwa sababu ndio kitu kilichomfikisha hapo alipo. Professor amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa ataendelea kukiheshimu kipaji chake licha ya kupata tiketi ya kuingia bungeni. “Muziki niliokuwa nikiufanya na ninaoendelea kuufanya ni sauti […]

 

9 years ago

Bongo5

Professor Jay ni mbunge mteule wa Mikumi

Rapper mkongwe nchini, Joseph Haule aka Professor Jay amechaguliwa kuwa mbunge wa Mikumi mkoani Morogoro. Jay ambaye alikuwa anawania ubunge kupitia tiketi ya CHADEMA, ametangazwa rasmi kuwa mbunge mteule wa jimbo hilo baada ya kupata kura 32,259 dhidi ya mpinzani wake wa karibu, Jonas Nkya wa CCM aliyepata kura 30,425. Kwa mujibu wa ITV, msimamizi […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani