Jose Chameleone ampongeza Professor Jay kwa kushinda ubunge
Mwanamuziki wa Uganda, Jose Chameleone amempongeza rafiki na msanii mwenzake Joseph Haule a.k.a Professor Jay kwa kusinda ubunge jimbo la Mikumi katika uchaguzi uliofanyika Oct.25. Professor na Chameleone waliwahi kushirikiana katika remix ya wimbo wa ‘Ndivyo Sivyo’ miaka kadhaa iliyopita, pamoja na wimbo mwingine uitwao ‘Kwaajili Yako’ ambao Professor alimshirikisha mkali huyo kupitia studio yake […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo517 Dec
New Music: Professor Jay f/ Jose Chameleone — Kwaajili Yako
10 years ago
Jamtz.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-L2_yuGsoP44/VJFNpIgrqrI/AAAAAAAABSo/_H9GIOJqvLo/s72-c/Prof%2Bjay%2BFt.%2BJose%2BChameleone.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Dec
10 years ago
Vijimambo08 Aug
Professor Jay kapita kura za maoni Ubunge huu hapa
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/08/PROFESSOR-JAY.jpg?resize=504%2C362)
Sasa leo Agosti 7, 2015 amekutana na ripota wa TZA na kupiga naye stori kuhusiana na mchakato wa kura za maoni jinsi ulivyofanyika.
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/08/PROFESSOR-JAY-22.jpg?resize=522%2C404)
10 years ago
Vijimambo17 Mar
AY ATUMA SALAM ZA POLE KWA JOSE CHAMELEONE KWA KIFO CHA AK47
![](https://hivisasa.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/ay1.jpg)
Marehemu Emmanuel Mayanja maarufu kwa jina la AK47 amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali baada ya kuanguka akiwa bafuni.
Taarifa zimeeleza kuwa kabla ya mauti kumkuta, AK47 alikuwa katika baa moja ya usiku iliyopo eneo la Kabalagala pamoja na marafiki zake.
Imeelezwa kuwa alidondoka akiwa bafuni wakati akiongea na simu na kukimbizwa katika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GkdWexg0QXA/VA186uG8u-I/AAAAAAAGhrI/8OenrobOhzg/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-09-08%2Bat%2B12.53.04%2BPM.png)
HABARI NJEMA kwa kila shabiki wa PROFESSOR JAY.
![](http://2.bp.blogspot.com/-GkdWexg0QXA/VA186uG8u-I/AAAAAAAGhrI/8OenrobOhzg/s1600/Screen%2BShot%2B2014-09-08%2Bat%2B12.53.04%2BPM.png)
9 years ago
Bongo518 Nov
Ujumbe wa Sugu kwa Professor Jay kuhusu lawama za wasanii
![sugu na jay](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/sugu-na-jay-300x194.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu na Mbunge wa jimbo la Mikumi Mhe. Joseph Haule a.k.a Professor Jay, ni wasanii wa muziki ambao wamefanikiwa kuingia kwenye Bunge la 11 baada ya kushinda kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
Kupitia 255 ya XXL Sugu ambaye alikuwa Mbunge kwenye bunge lililopita, amempa ushauri Professor ambaye ndio ameingia mjengoni kwa mara ya kwanza kuhusu malalamiko kutoka kwa wasanii.
“Unajua wasanii wamekuwa wakilalamika kuhusu uwepo wangu...
10 years ago
Bongo505 Nov
Video: Abba Marcus (mtoto wa Jose Chameleone) akipagawisha mashabiki kwa kulishambulia jukwaa na baba yake
10 years ago
Bongo519 Nov
New Music: Jose Chameleone — Milliano