Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nikiwa mbunge msinitegemee sana kuongelea matatizo ya wasanii — Professor Jay

Wasanii wasitegemee msaada wa maana pindi Professor Jay akiingia bungeni. Rapper huyo anayewania ubunge kwenye jimbo la Mikumi mkoani Morogoro amesema atatumia wadhifa huo kuwahudumia wananchi wa Mikumi. Professor amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa atakuwa mbunge wa watu wa Mikumi hivyo atatumia muda kuwatumikia watu wake. “Nimewaambia wasanii wangu na […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Professor Jay ni mbunge mteule wa Mikumi

Rapper mkongwe nchini, Joseph Haule aka Professor Jay amechaguliwa kuwa mbunge wa Mikumi mkoani Morogoro. Jay ambaye alikuwa anawania ubunge kupitia tiketi ya CHADEMA, ametangazwa rasmi kuwa mbunge mteule wa jimbo hilo baada ya kupata kura 32,259 dhidi ya mpinzani wake wa karibu, Jonas Nkya wa CCM aliyepata kura 30,425. Kwa mujibu wa ITV, msimamizi […]

 

9 years ago

Bongo5

Ujumbe wa Sugu kwa Professor Jay kuhusu lawama za wasanii

sugu na jay

Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu na Mbunge wa jimbo la Mikumi Mhe. Joseph Haule a.k.a Professor Jay, ni wasanii wa muziki ambao wamefanikiwa kuingia kwenye Bunge la 11 baada ya kushinda kwenye uchaguzi wa mwaka huu.

sugu na jay

Kupitia 255 ya XXL Sugu ambaye alikuwa Mbunge kwenye bunge lililopita, amempa ushauri Professor ambaye ndio ameingia mjengoni kwa mara ya kwanza kuhusu malalamiko kutoka kwa wasanii.

“Unajua wasanii wamekuwa wakilalamika kuhusu uwepo wangu...

 

9 years ago

MillardAyo

Mbunge Professor Jay kutimiza aahidi hii jimboni kwake…

Ni headlines za mbunge wa jimbo la Mikumi, Joseph Haule aka Professor Jay ambaye amezungumza na ripota wa millardayo.com kuhusiana na kutekeleza kile alichokiahidi wakati wa kampeni. ‘Ni kweli na moja kati ya vitu nilivyoahidi wakati wa kampeni zangu ni kwangu niliwambia wananchi kwamba wakinipa ubunge katika jimbo la Mikumi basi nitahakikisha kuwa naboresha sekta […]

The post Mbunge Professor Jay kutimiza aahidi hii jimboni kwake… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Ni headlines za Mbunge Professor Jay leo Dec 22 Jimboni kwake Mikumi…(+Picha)

Dec 22, 2015 Mbunge wa jimbo la Mikumi mkoani Morogoro, Mh. Joseph Haule aka Professor Jay amefanya mkutano wa kuwashukuru Wananchi wake kwa kumchagua kuwa mbunge wa jimbo hilo. Mbunge huyo pia aliweza kuwaruhusu wananchi wake wazungumze kero mbalimbali zinazowakabili katika maeneo yao. Hizi ni baadhi ya picha kutoka eneo ambalo mkutano huo ulipofanyika leo […]

The post Ni headlines za Mbunge Professor Jay leo Dec 22 Jimboni kwake Mikumi…(+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Maamuzi ya Mbunge Professor Jay kwenye siku yake ya kuzaliwa Dec 29…

Ikiwa Dec 29 ni siku ya kuzaliwa kwa msanii na mbunge wa Mikumi,Mh Joseph Haule aka Professor Jay ameamua kuchukua maamuzi ya kufanya usafi kwenye ofisi aliyokabidhiwa leo huko jimboni Mikumi Morogoro. Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram mbunge huyo aliandika..’Asante sana Mungu leo nimetimiza miaka 40 tangu nimezaliwa …. I dedicate this birthday kwa […]

The post Maamuzi ya Mbunge Professor Jay kwenye siku yake ya kuzaliwa Dec 29… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Bongo5

Professor Jay: video za ‘Tatu Chafu’ & ‘Kipi Sijasikia’ zimewagawanya sana watu

Professor Jay amesema video za nyimbo zake mbili ‘Kipi Sijasikia’ na ‘Tatu Chafu’ alizoziachia mwezi uliopita zimekuwa na ushindani mkubwa, kiasi cha kuwagawa mashabiki ambao wapo waliopenda zaidi ‘Tatu Chafu’ na wengine ‘Kipi Sijasikia’. “Kitu kikubwa ambacho kimenionesha ni kwamba hizi video zinachuana sana yaani zimewaganwanya watu” Professor Jay ameiambia Bongo 5. “Hizi video zimewagawanya […]

 

10 years ago

Vijimambo

Ruge Afunguka Kwanini Baadhi ya Wasanii Wanamchukia...Adai Lady Jay Dee Waliniumiza Kichwa Sana


Ruge Mutahaba anaweza kuwa ametajwa kwenye masakata mengi ya ubaya dhidi ya wasanii, akibebeshwa lawama kuliko mtu mwingine yeyote kwenye tasnia ya muziki, lakini kwake ni mambo matatu tu ndiyo anaona yamemsumbua sana.Mtaje Mr ll, mtaje Lady Jay Dee na mtaje Q Chief, utakuwa umemkumbusha mbali mkurugenzi huyo wa vipindi wa Clouds Media, ambaye pia amefanya kazi ya kusimamia wasanii wengi na ndiye kiongozi wa chuo cha Tanzania House of Talents (THT).
Katika makala haya, Ruge anazungumzia mambo...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

AllAfrica.Com

Professor Jay Wins Parliamentary Seat


Professor Jay Wins Parliamentary Seat
AllAfrica.com
Tanzanian legendary hip-hop artiste Joseph Haule aka Professor Jay is the new Mikumi Constituency member of parliament. The 40-year-old rapper, who so far has five solo studio albums, beat his fellow contestants in a hotly-contested elections that ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani