Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shedy Clever kuwakutanisha Diamond na Jose Chameleon

MTAYARISHAJI muziki wa nyota wa Bongo fleva nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’, Sheddy Clever, amesema ana mpango wa kumkutanisha msanii huyo na mkali kutoka Uganda, Joseph Chameleon kwenye wimbo anaouandaa....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sheddy Clever: Mashabiki wamemtosa Diamond

PRODYUZA wa mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseb Abdul ‘Diamond Platinum’, Sheddy Clever, amesema Watanzania ndio wamemuangusha msanii huyo katika harakati zake za kuwania tuzo za MTV MAMA....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diamond, Jide, Sheddy Clever wamefungua njia

USIKU wa kuamkia Julai 27, macho na masikio ya wapenzi na wadau wa muziki nchini yalihamia nchini Marekani ambapo kulikuwa na utoaji wa tuzo za African Muzik Magazine Awards (AFRIMMA)...

 

11 years ago

GPL

SHEDDY CLEVER; PRODYUZA ALIYEBEBWA NA NYOTA YA DIAMOND

Prodyuza aliyebebwa na nyota ya Diamond, Shadrack Willced Mongi au Sheddy Clever. KILA mtu ana ndoto zake kichwani, ili kuzibadilisha ndoto hizo kwenye uhalisia inahitajika kujitoa kinagaubaga ndipo mafanikio yatakapoonekana. Nasibu Abdull ‘Diamond’akiwa studio. Shadrack Willced Mongi au Sheddy Clever kama anavyofahamika na wengi naye alikuwa ni prodyuza wa muziki mwenye ndoto zake, alitamani kufanya kazi na...

 

10 years ago

Bongo5

Sheddy Clever alalamika jina lake kutoandikwa kwenye kichupa cha Diamond ‘Ntampata Wapi’

Producer wa hits mbili za Diamond Platnumz ‘Number One’ na ‘Ntampata Wapi’ alionekana kufurahia mafanikio ya Diamond kwenye tuzo za Channel O, lakini kitu kimoja hakijakaa sawa moyoni mwake. Sheddy amesema ameshangazwa baada ya kutoona jina lake likiandikwa kwenye video ya ‘Ntampata Wapi’. “Biashara kweli ni matangazo na nilitakiwa niandikwe kweli kwenye ile video, lakini […]

 

10 years ago

Bongo5

Jose Chameleone: Sijamuomba collabo Diamond, mimi si msanii mchanga (Exclusive Audio)

Msanii mkongwe wa Uganda, Jose Chameleone, amekanusha ripoti zilizoandikwa kwenye mtandao wa BigEye wa Uganda kuwa amemuomba Diamond Platnumz wafanye collabo. Chameleone ameiambia Bongo5 kuwa application ya Mziiki ambayo Diamond ni balozi wake wa Tanzania ipo kwenye mazungumzo naye ili kumfanya balozi wake wa Uganda na hivyo ilimuomba afanye wimbo na Diamond kama anthem ya […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Chameleon kupagawisha Arusha

MSANII mahiri wa Uganda, Dk. Jose Chameleon, anatarajia kufanya shoo ya aina yake mjini hapa Juni 27. Dk. Chameleon amebainisha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zake na anaipenda sana,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani