Yanga yawatuliza nyota wake
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wamepanga kuwatuliza nyota wao kwa kuanzisha mipango endelevu ndani ya klabu hiyo ambayo itawahamasisha na kuwavutia kuendelea kuitumikia timu yao kwa mafanikio msimu ujao.
Kwa sasa Yanga inajiandaa na michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame) itakayofanyika Julai, mwaka huu nchini.
Lakini baada ya kumalizika kwa Ligi Kuu Mei 9 mwaka huu, Yanga wameendelea kuvuta subira kwenye usajili...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Yanga yachimba mkwara nyota wake
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Yanga yazuia nyota wake Stars
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Kocha Pluijm ataka nidhamu kwa nyota wake Yanga
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Nyota Yanga wamlilia Jaja
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Nyota Yanga nusura wazichape
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Pluijm awaonya nyota Yanga
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Nyota 10 Simba, Yanga sokoni
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Yanga yaanika nyota Kagame
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, jana alitangaza kikosi kitakachokwenda mjini Kigali, Rwanda kucheza michuano ya Kombe la Kagame itakayoanza kutimua vumbi Agosti 8. Akizungumza jijini Dar...
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Azam FC kuwakosa nyota wake sita