Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yachimba mkwara nyota wake

Uongozi wa Yanga umetema ‘cheche’ kwa wachezaji wenye nidhamu mbovu kuwa watakumbana na adhabu kali ikiwezekana zaidi ya ile aliyopewa kiungo wao, Athuman Idd Chuji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

ALAT yachimba mkwara

JUMUIYA ya Tawala za Mitaa Tanzania (Alat) imesema itahakikisha hoja ya msingi ya kujitawala na kushiriki katika utawala wa nchi inaingizwa katika Katiba mpya na iwapo suala hilo litashindikana hawatashiriki...

 

10 years ago

Mwananchi

TFF yachimba mkwara mzito

Wakati pazia la usajili likifungwa leo, Bodi ya Ligi kwa kushirikiana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesisitiza kuwafungia wote watakaohusika na vitendo vya rushwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati Simba yachimba Mkwara

Wagombea wa uongozi ndani ya klabu ya Simba wametakiwa kuheshimiana kwa kuacha mara moja kutukanana na kupeana kashfa zisizo na msingi.

 

9 years ago

Habarileo

Toto Africans yachimba mkwara

KOCHA Msaidizi wa Toto Africans, John Tegete amesema timu hiyo haitakuwa kivuli cha klabu yoyote ile kwenye Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara.

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga yawatuliza nyota wake

NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wamepanga kuwatuliza nyota wao kwa kuanzisha mipango endelevu ndani ya klabu hiyo ambayo itawahamasisha na kuwavutia kuendelea kuitumikia timu yao kwa mafanikio msimu ujao.
Kwa sasa Yanga inajiandaa na michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame) itakayofanyika Julai, mwaka huu nchini.
Lakini baada ya kumalizika kwa Ligi Kuu Mei 9 mwaka huu, Yanga wameendelea kuvuta subira kwenye usajili...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yazuia nyota wake Stars

Klabu ya Yanga imewazuia wachezaji wake watatu kujiunga na kambi ya timu ya Taifa, Taifa Stars, hadi pale watakapomaliza mechi yao ya leo dhidi ya Thika United ya Kenya.

 

9 years ago

Mwananchi

Kocha Pluijm ataka nidhamu kwa nyota wake Yanga

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wanacheza na Mbeya City leo kwenye Uwanja wa Sokoine, lakini kocha wao mkuu, Hans Pluijm amewaambia vijana wake ili mchezo huo uwe na manufaa kwao, waache na utovu wa nidhamu, wasiwaige wapinzani wao.

 

11 years ago

Mwananchi

Plyum wa Yanga apiga mkwara

>Kocha Mkuu mpya wa timu ya Yanga, Hans Van Der Plyum ameanza kwa kishindo kuinoa timu ya Yanga baada ya kutoa onyo kali kwa watovu wa nidhamu na wachezaji wazembe katika timu yake.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkwasa achimba mkwara Yanga

>Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa jana alianza kazi rasmi ya kukinoa kikosi hicho na kusisitiza kuwa mchezaji asiyekuwa na nidhamu hana nafasi katika timu yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani