Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Plyum wa Yanga apiga mkwara

>Kocha Mkuu mpya wa timu ya Yanga, Hans Van Der Plyum ameanza kwa kishindo kuinoa timu ya Yanga baada ya kutoa onyo kali kwa watovu wa nidhamu na wachezaji wazembe katika timu yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mkwasa achimba mkwara Yanga

>Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa jana alianza kazi rasmi ya kukinoa kikosi hicho na kusisitiza kuwa mchezaji asiyekuwa na nidhamu hana nafasi katika timu yake.

 

11 years ago

Mwananchi

MAANDALIZI: Maximo achimba mkwara Yanga

>Kocha mkuu wa Yanga, Marcio Maximo amesema atamka mshahara mchezaji yeyote atakayekwenda kinyume na matakwa ya timu.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yachimba mkwara nyota wake

Uongozi wa Yanga umetema ‘cheche’ kwa wachezaji wenye nidhamu mbovu kuwa watakumbana na adhabu kali ikiwezekana zaidi ya ile aliyopewa kiungo wao, Athuman Idd Chuji.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Polisi Moro wachimbana mkwara

Wakati Yanga ikishuka uwanjani leo mjini Morogoro kuikabili Polisi, makocha wa timu hizo wamechimbana mkwara kwa kila mmoja kumwadhiri mwenzake.

 

9 years ago

Habarileo

Mwambusi aanza kwa mkwara Yanga

KOCHA mpya wa Yanga aliyetangazwa kuchukua nafasi ya Boniface Mkwasa, Juma Mwambusi amesema kuwa ataziba pengo la kocha huyo. Mwambusi kabla ya kujiunga na Yanga alikuwa Kocha Mkuu wa Mbeya City aliyoisaidia kupanda daraja kutokea ligi daraja la kwanza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makocha wapya Yanga waanza kwa mkwara

MAKOCHA wapya wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondamali ‘Mensah’ wameanza kukinoa kikosi cha klabu hiyo huku wakiwaonya wachezaji hasa watovu wa nidhamu. Pondamali na Mkwasa wameanza kuinoa timu...

 

10 years ago

Vijimambo

MSUVA APIGA HAT TRICK YANGA IKIIADHIBU TAIFA 4-0 KOMBE LA MAPINDUZI

Simon Msuva amefunga mabao matatu na kupika moja, Yanga SC ikiifumua mabao 4-0 Taifa ya Jang’ombe katika mchezo wa Kundi A, Kombe la Mapinduzi, uliofanyika Uwanja wa Amaan usiku huu. Kazi nzuri iliyofanywa na Winga machachari wa Yanga Simon Msuva, imeiwezesha timu hiyo kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya timu ya Taifa Jang'ombe katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi uliomalizika hivi punde kwenye uwanja wa Aman Mjini Zanzibar. Mabao matatu kati ya manne yalifungwa na Simon Msuva katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani