Mwambusi aanza kwa mkwara Yanga
KOCHA mpya wa Yanga aliyetangazwa kuchukua nafasi ya Boniface Mkwasa, Juma Mwambusi amesema kuwa ataziba pengo la kocha huyo. Mwambusi kabla ya kujiunga na Yanga alikuwa Kocha Mkuu wa Mbeya City aliyoisaidia kupanda daraja kutokea ligi daraja la kwanza.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Sitta aanza kwa mkwara mzito
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Makocha wapya Yanga waanza kwa mkwara
MAKOCHA wapya wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondamali ‘Mensah’ wameanza kukinoa kikosi cha klabu hiyo huku wakiwaonya wachezaji hasa watovu wa nidhamu. Pondamali na Mkwasa wameanza kuinoa timu...
11 years ago
Mwananchi02 Jul
MAZOEZI DAKIKA 120: Maximo aanza kwa kishindo Yanga
9 years ago
Habarileo18 Nov
Mwambusi: Hakuna wa kuizuia Yanga
LICHA ya kuachwa nyuma kwa pointi mbili na vinara Azam FC katika msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Kocha msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi, amesema licha ya ushindani mkubwa katika ligi, ana uhakika watatetea ubingwa wao msimu huu.
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Ziara Yanga yamkuna Mwambusi
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Mwambusi, Bushiri waitwa Yanga
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Mkwasa achimba mkwara Yanga
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Plyum wa Yanga apiga mkwara