Ziara Yanga yamkuna Mwambusi
Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema ujio wa Yanga ndani ya Jiji la Mbeya hilo ni kama zali kwao kwani mechi yao ya kirafiki watakayocheza nao Jumapili itamsaidia kukijenga kikosi chake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Mwambusi, Bushiri waitwa Yanga
9 years ago
Habarileo18 Nov
Mwambusi: Hakuna wa kuizuia Yanga
LICHA ya kuachwa nyuma kwa pointi mbili na vinara Azam FC katika msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Kocha msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi, amesema licha ya ushindani mkubwa katika ligi, ana uhakika watatetea ubingwa wao msimu huu.
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Kocha Mwambusi kutua Yanga leo
9 years ago
Habarileo13 Oct
Mwambusi aanza kwa mkwara Yanga
KOCHA mpya wa Yanga aliyetangazwa kuchukua nafasi ya Boniface Mkwasa, Juma Mwambusi amesema kuwa ataziba pengo la kocha huyo. Mwambusi kabla ya kujiunga na Yanga alikuwa Kocha Mkuu wa Mbeya City aliyoisaidia kupanda daraja kutokea ligi daraja la kwanza.
9 years ago
TheCitizen12 Oct
Mwambusi replaces Mkwasa as Yanga’s new assistant coach
9 years ago
Habarileo29 Oct
Stars yamkuna Mayay
MCHEZAJI wa zamani wa Yanga na timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ , Ally Mayay amesema kikosi cha Taifa Stars kimesheheni vijana wengi ambao wanaweza kucheza kwenye timu hiyo hata kwa muda mrefu.
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Tusker FC yamkuna Logarusic
KOCHA Mkuu wa Simba, Mcroatia Zdravko Logarusic, juzi usiku alitinga kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa na kushuhudia mchezo mkali wa Kombe la Mapinduzi uliokuwa ukichezwa kati ya Azam FC...
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mapokeo Kabibi yamkuna Abdukiba