Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stars yamkuna Mayay

MCHEZAJI wa zamani wa Yanga na timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ , Ally Mayay amesema kikosi cha Taifa Stars kimesheheni vijana wengi ambao wanaweza kucheza kwenye timu hiyo hata kwa muda mrefu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

matapeli walamba email ya Mchezaji wa zamani wa Yanga na Taifa Stars Ally Mayay Tembele

Mchezaji wa zamani wa Yanga na Taifa Stars Ally Mayay Tembele (pichani) anawaarifu ndugu, jamaa na marafiki pamoja na jamii ya Tanzania kwa jumla kwamba email address yake ya maya@yahoo.comimeibwa na matapeli na kuanza kutumika vibaya (phishing) kwa kudai kuwa yeye yupo Ukraine na amekumbwa  na matatizo hivyo anaomba msaada wa pesa haraka.


Mbaya zaidi, katika email yake hiyo Ally Mayay Tembele aliwahi kuambatanisha nyaraka nyeti kadhaa ikiwemo pasipoti ambazo wezi hao wanazitumia kama alama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tusker FC yamkuna Logarusic

KOCHA Mkuu wa Simba, Mcroatia Zdravko Logarusic, juzi usiku alitinga kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa na kushuhudia mchezo mkali wa Kombe la Mapinduzi uliokuwa ukichezwa kati ya Azam FC...

 

10 years ago

Mwananchi

Ziara Yanga yamkuna Mwambusi

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema ujio wa Yanga ndani ya Jiji la Mbeya hilo ni kama zali kwao kwani mechi yao ya kirafiki watakayocheza nao Jumapili itamsaidia kukijenga kikosi chake.

 

11 years ago

Mwananchi

Tusiime ‘yamkuna’ waziri Kawambwa

>Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, ameipongeza Shule ya Tusiime ya jijini Dar es Salaam kwa kushika nafasi ya  pili kitaifa katika matokeo ya mitihani ya darasa la saba mwaka jana.

 

9 years ago

GPL

SHERIA YA MTANDAO YAMKUNA MAI

Mtangazaji maarufu wa televisheni Bongo, Maimartha Jesse. Gladness Mallya MTANGAZAJI maarufu wa televisheni Bongo, Maimartha Jesse amekunwa na sheria ya mtandao iliyoanza kutumika hivi karibuni kwa kile alichosema matusi dhidi yake yamepungua. Akichonga na gazeti hili, Maimartha alisema amefurahi kupitishwa kwa sheria hiyo kwani alikuwa ni mtu wa kutukanwa kila siku na kwa ajili hiyo anamshukuru Rais Jakaya Kikwete kwa kuridhia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapokeo Kabibi yamkuna Abdukiba

p>KIBAO kipya kinachokwenda kwa jina la ‘Kibibi’ kilichoimbwa na mkali wa muziki wa kizazi kipya, Abdukiba kimeanza kufanya vizuri katika vituo mbalimbali vya redio. Wimbo huo umesambazwa katika vituo mbalimbali...

 

11 years ago

Michuzi

shule ya makete girls yamkuna mkuu wa mkoa wa Njombe

 Mkuu wa mkoa wa Njombe kapteni Mstaafu Aseri Msangi(katikati) akikagua majengo ya shule mpya wa wasichana wilayani Makete, kushoto ni mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro na kulia ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete Daniel Okoka.  Ukaguzi huo ukiendelea.  Wananchi wakimsikiliza mkuu wa mkoa wa Njombe Kapteni Msangi(hayupo pichani) akizungumza nao  Mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro akizungumza kwenye mkutano shuleni hapo  Mkuu wa mkoa wa Njombe Kapteni Mstaafu...

 

10 years ago

Vijimambo

MECHI YA STARS UNITED NA ALL AFRICAN STARS MPAKA DAKIKA 90 MAMBO NI 5-5


 Kutoka kushoto ni Dallah , Mundo na Ediga wachezaji wa Stars United wakitafakali jambo kabla ya mechi All African Stars wakipata picha ya pamoja.                       Stars United wakipata  picha ya pamoja. Kifaa cha Stars United Elvis Mnyamuru akijaribu kumiliki mpira. Mmoja ya wachezaji wa All African Stars ya Atlanta akiwa chini baada ya kuchezewa rafu huku wachezaji wa Stars United. Mchezaji wa All African Stars (kulia) akijaribu kumtoka Edgar mmoja ya mchezaji wa Stars United Mchezaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani