Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tusker FC yamkuna Logarusic

KOCHA Mkuu wa Simba, Mcroatia Zdravko Logarusic, juzi usiku alitinga kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa na kushuhudia mchezo mkali wa Kombe la Mapinduzi uliokuwa ukichezwa kati ya Azam FC...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Stars yamkuna Mayay

MCHEZAJI wa zamani wa Yanga na timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ , Ally Mayay amesema kikosi cha Taifa Stars kimesheheni vijana wengi ambao wanaweza kucheza kwenye timu hiyo hata kwa muda mrefu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapokeo Kabibi yamkuna Abdukiba

p>KIBAO kipya kinachokwenda kwa jina la ‘Kibibi’ kilichoimbwa na mkali wa muziki wa kizazi kipya, Abdukiba kimeanza kufanya vizuri katika vituo mbalimbali vya redio. Wimbo huo umesambazwa katika vituo mbalimbali...

 

11 years ago

Mwananchi

Tusiime ‘yamkuna’ waziri Kawambwa

>Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, ameipongeza Shule ya Tusiime ya jijini Dar es Salaam kwa kushika nafasi ya  pili kitaifa katika matokeo ya mitihani ya darasa la saba mwaka jana.

 

9 years ago

GPL

SHERIA YA MTANDAO YAMKUNA MAI

Mtangazaji maarufu wa televisheni Bongo, Maimartha Jesse. Gladness Mallya MTANGAZAJI maarufu wa televisheni Bongo, Maimartha Jesse amekunwa na sheria ya mtandao iliyoanza kutumika hivi karibuni kwa kile alichosema matusi dhidi yake yamepungua. Akichonga na gazeti hili, Maimartha alisema amefurahi kupitishwa kwa sheria hiyo kwani alikuwa ni mtu wa kutukanwa kila siku na kwa ajili hiyo anamshukuru Rais Jakaya Kikwete kwa kuridhia...

 

10 years ago

Mwananchi

Ziara Yanga yamkuna Mwambusi

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema ujio wa Yanga ndani ya Jiji la Mbeya hilo ni kama zali kwao kwani mechi yao ya kirafiki watakayocheza nao Jumapili itamsaidia kukijenga kikosi chake.

 

11 years ago

Michuzi

shule ya makete girls yamkuna mkuu wa mkoa wa Njombe

 Mkuu wa mkoa wa Njombe kapteni Mstaafu Aseri Msangi(katikati) akikagua majengo ya shule mpya wa wasichana wilayani Makete, kushoto ni mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro na kulia ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete Daniel Okoka.  Ukaguzi huo ukiendelea.  Wananchi wakimsikiliza mkuu wa mkoa wa Njombe Kapteni Msangi(hayupo pichani) akizungumza nao  Mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro akizungumza kwenye mkutano shuleni hapo  Mkuu wa mkoa wa Njombe Kapteni Mstaafu...

 

10 years ago

TheCitizen

Ex-Simba player joins Tusker FC

Ten-time Kenya Premier League winners Tusker FC have so far signed nine players in the ongoing transfer window. Centre back Donald Mosoti was the first new face at the club joining from Tanzanian giants Simba SC before midfielder Cersidy Lumumba came in from Top Fry AllStars.

 

11 years ago

Mwananchi

Bao Tchetche lamkuna Kipa Tusker

>Kipa wa Tusker, Samwel Odhiambo amesema  kipigo walichokipata cha bao 1-0 kutoka kwa Azam si msiba, na kumsifu Kipre Tchetche kwa ustadi aliotumia  kufunga bao hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam, Tusker shughuli pevu leo

MABINGWA watetezi wa michuano ya Kombe la Mapinduzi, Azam FC usiku wa leo wanatarajiwa kushuka dimba la Amaan kisiwani hapa, kumenyana na Tusker ya Kenya katika mchezo wa Kundi C,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani