Mwambusi: Hakuna wa kuizuia Yanga
LICHA ya kuachwa nyuma kwa pointi mbili na vinara Azam FC katika msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Kocha msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi, amesema licha ya ushindani mkubwa katika ligi, ana uhakika watatetea ubingwa wao msimu huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboHAKUNA WA KUIZUIA CHELSEA KUTWAA UBINGWA, LEICESTER YACHEZEA KICHAPO CHA BAO 3-1
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Ziara Yanga yamkuna Mwambusi
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Mwambusi, Bushiri waitwa Yanga
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Kocha Mwambusi kutua Yanga leo
9 years ago
Habarileo13 Oct
Mwambusi aanza kwa mkwara Yanga
KOCHA mpya wa Yanga aliyetangazwa kuchukua nafasi ya Boniface Mkwasa, Juma Mwambusi amesema kuwa ataziba pengo la kocha huyo. Mwambusi kabla ya kujiunga na Yanga alikuwa Kocha Mkuu wa Mbeya City aliyoisaidia kupanda daraja kutokea ligi daraja la kwanza.
9 years ago
TheCitizen12 Oct
Mwambusi replaces Mkwasa as Yanga’s new assistant coach
9 years ago
Habarileo28 Aug
Yanga hakuna kulala
ZIKIWA zimesalia takribani wiki mbili kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara, mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Yanga wamepanga kujichimbia Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho. Kwa sasa timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo zipo mafichoni kujiweka sawa kabla kipute hakijaanza rasmi Septemba 12, mwaka huu kwa msimu wa 2015-16.
10 years ago
Mwananchi08 Dec
‘Simba, Yanga hakuna jipya’