Yanga hakuna kulala
ZIKIWA zimesalia takribani wiki mbili kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara, mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Yanga wamepanga kujichimbia Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho. Kwa sasa timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo zipo mafichoni kujiweka sawa kabla kipute hakijaanza rasmi Septemba 12, mwaka huu kwa msimu wa 2015-16.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Yanga hakuna kulala leo
Mabingwa wa Tanzania, Yanga leo watakakuwa na kazi moja tu ya kuhakikisha wanapata ushindi mnono dhidi ya Komorozine ya Comoro katika pambano la Ligi ya Mabingwa Afrika litakalopigwa kuanzia saa 10 jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAbUhK5bdUAGIFz0Y8GZXPTH*5x1z1DDxHJKHVfkFo7kF0IgmgjGNbHXulisOfohHC35C0NDnbNu8DMLyefXW343/1.jpg?width=650)
YANGA HAKUNA KULALA KUJIFUA TU
Wachezaji wa Yanga wakikimbia kwa mwendo wa pole. Kipa Juma Pondamali (kushoto) akiwanoa makipa. Wachezaji wakikimbia kwa mwendo kasi.…
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Chadema: Hakuna kulala, hakuna kula
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana kilizindua mkakati wake wa ushindi “Hakuna kulala, hakuna kula mpaka kieleweke†katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba kwa kufungua mafunzo yatakayoendeshwa nchi nzima kwa viongozi wa vyama na Serikali za Mitaa.
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Hakuna kulala
WIKI tatu kabla ya kuhitimishwa kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu, vyama vyenye ushindani mkubwa Chama
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Mghwira: Hakuna kulala
Mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema endapo atafanikiwa kuingia madarakani, Serikali yake itafanya kazi kwa staili ya ‘hakuna kulala’ kulinda haki ya wafugaji na wakulima na hatimaye kumaliza migogoro ardhi inayotokea baina yao.
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Hakuna kulala leo
Mechi kubwa ya wiki, labda ni mechi kubwa zaidi ya mwezi huu ya Ligi Kuu England itachezwa leo usiku kwenye Uwanja wa Etihad mjini Manchester.
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Lowassa: Hakuna kulala
Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa amesema hakutakuwa na muda wa kupoteza iwapo atachaguliwa akisema ataanza kushughulikia ahadi zote ikiwamo ya ujenzi wa viwanda kwa ajili ya kutatua tatizo la ajira mara tu baada ya kuapishwa.
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Uhuru, Kisiga hakuna kulala
Kutokana na ushindani wa namba katika kikosi cha Simba, viungo wa timu hiyo, Shaaban Kisiga na Uhuru Selemani wamejikuta wakilazimika kufanya mazoezi binafsi baada ya kocha wao, Patrick Phiri kuwapa mapumziko juzi Jumapili.
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Kili Stars hakuna kulala
Waswahili wanasema ‘Kupanda ngoma kushuka mchongoma’ na hicho ndicho kinachotarajiwa kutokea katika robo fainali za mashindano ya Kombe la Chalenji 2015 zinazotarajiwa kuanza leo kwenye Uwanja wa Addis Ababa, Ethiopia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania